Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majengo imara yenye misingi imara ndiyo yanayoathirika zaidi na matetemeko kuliko majengo dhaifuMungu epusha hili janga, likija huku kwetu na hizi nyumba za kuegesha sijui itakuwaje.
Walioichoma Qur'an ni watu kutoka nchi ipi Sweden, Turkey or Syria?
Kuna siku Dunia itachoka kutubeba na itaamua kutufunikia huko chini, haya ndio mashaka yangu.
Tetemeko kubwa la ardhi la kipimo cha 7.9 limepiga katikati mwa Uturuki na Kaskazini-Magharibi mwa Syria siku ya Jumatatu, na kuua maelfu ya watu na kujeruhi mamia wakati majengo yakiporomoka
Uokoaji wa walionusurika kwenye vifusi katika eneo hilo lenye theluji unaendelea.
Shirika la maafa la Uturuki limesema watu 76 wameuawa, na 440 wamejeruhiwa, wakati mamlaka ilipotawanya timu za uokoaji na kusambaza ndege katika eneo karibu na mji wa Kahramanmaras, huku ikitangaza "kiwango cha 4 ya uokoaji" inayotaka usaidizi wa kimataifa.
Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vimesema kuwa idadi kubwa ya majengo yameporomoka katika jimbo la Aleppo, huku chanzo cha habari katika utumishi wa umma cha Hama kikisema kuwa majengo pia yameporomoka huko.
UPDATES
Vifo zaidi ya 100 upande wa Uturuki, 39 Upande wa Syria huku watu wengi wakiwa bado chini ya vifusi.
Italia yaonya kuwa tsunami yaweza tokea kutokana na tetemeko hilo
Huku mnateswa na walamba asali kule wanateswa na Tetemeko ni mradi mteseke tu.Mmh kila nchi na majanga yake
PortugalHivi wale walioichoma Qur'an ni nchi gani Sweden, Uturuki au Syria?
Naomba jibu tafadhali
Ficha ujinga wako.Hivi wale walioichoma Qur'an ni nchi gani Sweden, Uturuki au Syria?
Naomba jibu tafadhali
Ficha ujinga wako.
You have to stick kwenye mada.
Waombe kwa marafiki zao RussiaUturuki yaomba msaada wa dawa
Na watapewa msaada na Sweden.Ukisikia usiongee ukamaliza maneno ndiyo hii sasa.View attachment 2508264
After 5 days kaboom tetemeko la Ardhi latokea Uturuki, don't play with Sweden