Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia

Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia

Si waliipiga Moto 🔥 hii? Nasikia ukiipiga Moto 🔥 yanakukuta makuu sasa imekuaje waliochoma hawajapatwa na tetemeko Ila waliolalamika kuchomewa Qur'an ndio yamewakuta matetemeko?
Ungejua uturuki wakristo ni wengi wa kutosha usingesema, na sababu ya tetemeko huwa ni kuzidi madhambi kuunganisha tukio la sweden na na tetemeko la uturuki naona ni kupoteza muda.
 
Elimu ya kujua yote hayo umeitoa wapi na unaweza kuweka ushahidi ?

Ni katika ujinga wa mtu kuzua na kuzungumza mambo pasipo na ushahidi.

Waliokufa wanahusika vipi na hilo wakati kuna wengine ni wakiristo na atheist na Waislamu wasiolalamika mbona wamefariki na hilo janga ?

Kwa kuongeza eneo liliotokea maana karibu na mpaani mwa Syria kwa asilimia kubwa linakaliwa na Kurdish people ambao Sweden inawaunga mkono na wanauhasama na serikali ya Turkey..
Mkuu acha kubishana na huyo mpumbavu ikiwezekana piga bani kabisa.
 
Ungejua uturuki wakristo ni wengi wa kutosha usingesema, na sababu ya tetemeko huwa ni kuzidi madhambi kuunganisha tukio la sweden na na tetemeko la uturuki naona ni kupoteza muda.
Screenshot_20230207-224727.png

Screenshot_20230207-224842.png
 
We don't have records, si ajabu kwa nchi hizi mwenyezi Mungu alitenga ardhi yake ili kuruhusu Dunia kupumua, si ajabu tetemeko kama hili likatokea tena miaka 3,000 ijayo - nani ataweka records ?
 
Back
Top Bottom