Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hivi ndo vitu wangetuambia ili tuwe na tahadhari badala yake wanakula bata tuTMA kazi yao imekuwa kuangalia movie ofisini tuu
teh tehKara sevda[emoji21][emoji21][emoji21]
Nilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia
Wow natamani kurusha salam nyingi huko
huwa wanasema baada ya tukio kutokea[emoji706]Na hivi ndo vitu wangetuambia ili tuwe na tahadhari badala yake wanakula bata tu
Mmmxxiewi....
Limepita hapa ferry na nimeomba lift limeniacha Zanzibar lenyewe limeendelea kwenda MombasaWakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Mie nshapoint vimwana wawili wa kula kimasihara kwene eneo languleo ni kama zali yaani ! kila mtu anataja anakokaa, mpaka sasa nimeshapata watu wa tatu tunakaa eneo moja!
mpaka sasa hakuna serious demage iliyotokana na hili natural dizasta?... wanasubiria Geological Survey of America aka Mabeberu watujuze epicentre ilikuwa wapi maeneo ya Dar. Yap wametoa updates tayari; epicentre ilikuwa SE of Dar es Salaam with magnitude of 5.1 Ristcher scale.
I hope Bahari haijawa disturbed sana maana..epicenter ni bahari ya hindi juu kidogo ya Mafia
Strong mag. 6.0 earthquake - Tanzania on Wednesday, 12 August 2020 - information :
Heri hujaenda Mombasa, wasingekuacha hivi hiviLimepita hapa ferry na nimeomba lift limeniacha Zanzibar lenyewe limeendelea kwenda Mombasa