Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,271
- 5,617
Hata mimi nmewazaKumbe matetemeko ndo inakuaga hivi . Yani limepiga kidogooo tu ila nimepanic balaa ..sipati picha yale makubwa inakuaje?
Mungu atunusuru
[emoji23][emoji23]Ndugu wananchi leo ni kulala kisungurasungura huwa yana tabia ya kurudia.......aftershock....