Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Hili tetemeko ni dalili tosha kuwa Tanzania chini ya jemedari Dr. John Joseph Magufuli, sasa Tanzania imeingia kwenye uchumi wa kati, na ccm hapo Oct itaenda kushinda kwa ushindi wa kishindo.. Viva Magufuli
 
Hebu muulize Mjumbe hapo kama hili nalo liko kwenye ilani ya Chama!! Tumeahidi tunatekeleza
 
Mtaalamu wa Geologia anasema hili tetemeko lililopita leo likielekea nchi Jirani. Limetokea Beirut kwenye Ule Mlipuko Bandarini. Likawa linapita chini kwa chini kuelekea huko mbele litakalokomea.

Wadau ndo tufahamu kuwa milipuko tu hii ya kawaida inakuwa hivi je Atomic au Nyuklia Bom litakuaje? Tusije shabikia kabisa haya mabomu.

Nyie mnakumbuka ule mlipuko wa mabomu mbagala hadi Ubungo kulicheza? Mnakumbuka mlipuko wa mabomu Balozi ya USA Dar ilitikisika?

Haya...msije sema hamkuambiwa.
Hizi bangi mmmh.

Inawezekana lakini.
 
Kuna tetemoko la ardhi limepita huko maeneo ya kitunda kama kuna mtu amelisikia tu naomba mamlaka ya Hali ya hewa kutoa tamko
... wanasubiria Geological Survey of America aka Mabeberu watujuze epicentre ilikuwa wapi maeneo ya Dar. Yap wametoa updates tayari; epicentre ilikuwa SE of Dar es Salaam with magnitude of 5.1 Ristcher scale.
 
Back
Top Bottom