othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Ule wa ubalozi ulikuwa hatari niliusikia mshindo wake!!Mtaalamu wa Geologia anasema hili tetemeko lililopita leo likielekea nchi Jirani. Limetokea Beirut kwenye Ule Mlipuko Bandarini. Likawa linapita chini kwa chini kuelekea huko mbele litakalokomea.
Wadau ndo tufahamu kuwa milipuko tu hii ya kawaida inakuwa hivi je Atomic au Nyuklia Bom litakuaje? Tusije shabikia kabisa haya mabomu.
Nyie mnakumbuka ule mlipuko wa mabomu mbagala hadi Ubungo kulicheza? Mnakumbuka mlipuko wa mabomu Balozi ya USA Dar ilitikisika?
Haya...msije sema hamkuambiwa.
Epicenter ingekuwa nchi kavu ningeamka asubuhi na mengine maana 5.9 ni kitu heavy! Bora limejitulizia zake huko baharini. Ila mimi nipo mikoaaaaaHali ya hewa na matetemeko wapi na wapi ?Ma geologist/seismologist ndo wanahusiana na matetemeko.
Anatafuta aababu ya kutolipa hela huyo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole mkuu ? Ila umlipe muuza supu pesa yake, maana yeye hajaleta tetemeko
sijalisikiaWow natamani kurusha salam nyingi huko
Watu wa dsm mndeka sana, hilo tetemeko lilitakiwa kupiga mahali alipo jiweTetemeko la ardhi Dar es salaam
Yaani acha tu. Pia magnitude ingekuwa 9 humo humo baharini leo tungeamka na Tsunami.Epicenter ingekuwa nchi kavu ningeamka asubuhi na mengine maana 5.9 ni kitu heavy! Bora limejitulizia zake huko baharini. Ila mimi nipo mikoaaaaa
Wanadai ni matokeo ya milipuko ya Lebanon hukoYaani acha tu. Pia magnitude ingekuwa 9 humo humo baharini leo tungeamka na Tsunami.
Ila kweli imagine epicenter pale magogoni yaani pale posta leo kungekuwa tambalale,majengo marefu yote chali.
Ila mimi bado najiuliza kwa nini Tetemeko maana ukanda huu wa bahari huwa hakuna major fault na pia tupo mbali na ukanda wa bonde la ufa wenye matetemeko.
Hapana haimake sense. Lebanon ni mediterranean sea huko .Wapi na wapi tetemeko litokee indian ocean huku Tanzania ?Wanadai ni matokeo ya milipuko ya Lebanon huko
I thought the same kuhusu hili tetemeko Dar, Pwani Morogoro iko far kutoka kwenye belt zone la matetemeko makubwa hata bonde la ufa hii imetokeaje, nikawaza hili tetemeko lingezidi ukubwa huko baharini tungekumbwa na tsunami na Dar nzima ingepotea jinsi iko flat, naomba nisitokee maana matetemeko ya baharini huleta tsunamiYaani acha tu. Pia magnitude ingekuwa 9 humo humo baharini leo tungeamka na Tsunami.
Ila kweli imagine epicenter pale magogoni yaani pale posta leo kungekuwa tambalale,majengo marefu yote chali.
Ila mimi bado najiuliza kwa nini Tetemeko maana ukanda huu wa bahari huwa hakuna major fault na pia tupo mbali na ukanda wa bonde la ufa wenye matetemeko.
Matetemeko ya baharini Ni hatari huleta tsunami lingeozeka ukubwa zaidi tsunami ingetokeaEpicenter ingekuwa nchi kavu ningeamka asubuhi na mengine maana 5.9 ni kitu heavy! Bora limejitulizia zake huko baharini. Ila mimi nipo mikoaaaaa
Huku niliko Mimi hii Ni Mara pili katika huu mwakaNilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia
Pole mamaNilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia