Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
" Lushaaaaa"Wow natamani kurusha salam nyingi huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
" Lushaaaaa"Wow natamani kurusha salam nyingi huko
Tetemeko la ardhi limekamatwa usiku huu likijaribu kupita Buza bila kibali maalum.sioni komenti toka buza,,,au walishazoea wenzetu
Acha hizo mkuu sijawahi thubutu kuongopa hivyoWe si ulsemaga upo bangkok?!?,
Wakati tuko shule tulimtania mwalimu subtopic ya Earthquake haina practicalHaya mambo yako kiupendeleo,nimesubiri sana hapa Singida lakini sioni cha tetemeko wala nini,sasa ngoja oktoba 28.
Hukulisikia wewe wale waliokua wamekaa concentrated wamelihisi vyemaMikocheni halijapita
Hawa jamaa wapo vizuri sana kusema kweli.Ila hawa wenzetu wapo mbele sana
Mara hii malink kibao tayari wameshaweka kwenye googleView attachment 1535411
Hii inamaanisha nini?
Kishindo cha awamu ya 5 hicho..
Kumbe Roma Mkatoliki ana ID humu! Cheki kaiba comment yangu[emoji23][emoji23]. Cheki time difference ya post yangu na yakeLaizer aache kuchimbachimba. Bil 7 hazimtoshi[emoji35]. Atakuja atuue
Mkuu Elimu Elimu ElimuHawa jamaa wapo vizuri sana kusema kweli.
Wabongo ujuaji mwingi utadhani ilikuwepo.Acha bangi, dakika moja unaijua wewe?
Limekatiza Pwani sekunde kadhaa
Watu washakuweka status huku.View attachment 1535404