Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Acha bangi, dakika moja unaijua wewe?Ni saa mbili na dakika 16, nikiwa nimejilaza ndani ghafla kitanda kikaanza kutikisika kwa nguvu, ardhi inavibrate, nikatoka speed, ile nmefika tu mlangoni naona wapangaji wenzangu wanatoka mbio huku tukiwa hatusemeshani.
Limedumu kwa dakika kama moja hivi.
Vipi huko kwenu ?