Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kuna yeyote aliyeshuhudia?
hawa viumbe unawala kirahisi sana wakiwa kwenye panic mode, wala huimbishiHahahaha we jamaa mtu wa fursa sana
badlisha title sio dar tuu ni AfricaWakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Wewe ndio umelisababisha kumbeNilikua lodge na mrembo nikajua ugwadu
Pole..Nilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia
Wanaume wa Dar mdebwedo sanaKijichi tulio majumbani nguvu za miguu zimetuisha ghafla
Poa. Ninakaa KivuleRelini
Limepita Mabibo huku
Duuh!Nilikua lodge na mrembo nikajua ugwadu
ok nilianzisha ile shule ,nimewasumbu sana ndugu zako kwenye msalagamboNdio nyumbani huko