Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Hii ndio inaitwa Kishindo awamu ya 5. 20:16 Kijichi limetekenya
 
Msamvu hapa tetemeko limepiga nilikuwa kwenye bus yaani limemwaga hadi maziwa yangu.
 
Uzi uko speed ya aina yake. Mimi nimelishudia live kwa mara ya kwanza nikiwa nje nimesimama , ila kwa huku bunju dar limepita kwa sekunde chache mno. Nadhani chini ya sekunde maybe.
 
Tanzania has had: (M1.5 or greater)

1 earthquake in the past 24 hours

1 earthquake in the past 7 days

2 earthquakes in the past 30 days

11 earthquakes in the past 365 days

The largest earthquake in Tanzania:

today: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this week: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this month: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this year: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
 
Acheni uoga nyie wanaume wa Dar, sisi tetemeko lililotokea tunaamshana kwenda shambani.
 
Waliokutwa kwenye mtanange wa wakubwa jamani hamkusikia?

Naona hakuna anayesema alikuwa ana pump
 
Tanzania has had: (M1.5 or greater)

1 earthquake in the past 24 hours

1 earthquake in the past 7 days

2 earthquakes in the past 30 days

11 earthquakes in the past 365 days

The largest earthquake in Tanzania:

today: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this week: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this month: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this year: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
Kilindoni ni wapi mkuu
 
Tetemeko dogo limetokea usiku huu saa mbili na dakika ishirini eneo la Mbagala Dar es Salaam, hslikuwa na madhara.
 
Capture.PNG
 
Back
Top Bottom