Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Linaelekea barabara ya MandelaSasa hapo litakuwa linaelekea wapi? Hamjafanikiwa kuuliza wadau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linaelekea barabara ya MandelaSasa hapo litakuwa linaelekea wapi? Hamjafanikiwa kuuliza wadau?
Likaendaenda wapi?Mpaka huku Bunju limepita...!!
Mbezi halijapita
Sijui limepita shortcut ipi hadi kufka moro maana njia ya moro inapita mbezi
Asa sijui limepita njia gan@😂😂😂😂
Mbezi Luis piaSio ubungo hadi tegeta limepiga.
Kweli aisee, nipo mitaa hii watu hawana habari kabisa.
Kama ni foreshock?Ndugu wananchi leo ni kulala kisungurasungura huwa yana tabia ya kurudia.......aftershock....
Wakati huo mkuu alikuwa nani? au alikuwa yule mama mtata sana?nimefanya kazi sec kwemkabara hapo
Kilindoni ni wapi mkuuTanzania has had: (M1.5 or greater)
1 earthquake in the past 24 hours
1 earthquake in the past 7 days
2 earthquakes in the past 30 days
11 earthquakes in the past 365 days
The largest earthquake in Tanzania:
today: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
this week: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
this month: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
this year: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
Yap nilikuwa nahisi sofa linachezacheza kumbe ni tetemeko😂😂😂Sio ubungo hadi tegeta limepiga.
Kote kwangu Frame kumi unaingia hosipital ya kivule ulizia jeuri karibu mkuuPoa. Ninakaa Kivule