Acha vitendo vya kuzibua mitaro! Nimesikia Rchuga mnataka kuwapiku Zanzibar na TangaWasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushinda kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 am almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.
Ndio tarehe zake iziWasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushinda kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 am almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.
Niko kwa bed naskia kitandan kina shake nikapotezea maeneo ya selianWasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushinda kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 am almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.
Kazi kweli 🤔Acha vitendo vya kuzibua mitaro! Nimesikia Rchuga mnataka kuwapiku Zanzibar na Tanga
Nimekuwa nikiona mara nyingi pale wanasayansi wanaposema Dunia inakuwa mbali na jua (aphelion)July 3-6 ndio Hali hii hutokea Hadi pale jua likikaribia Dunia (perihelion) 2-4 January Hali ya tetemeko hupunguaHii inasababishwa na nini mkuu?
Hapa KIA nimehisiMoshi sehemu gani
Sehemu kubwa ya Arusha limepita.Wasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.