Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya jikoniMoshi sehemu gani
NIache nini?Achaa basi mkuu 😅
Tetemeko imetokea kwel mpaka maeneo ya huku ngaramtoni juu ni kubwa mno afu lipo slow motionWasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.
Nilipokua nimekaa mguu ulihisi kwa mbaaliduru zinaharifu hata Moshi limepapasa kidogo ni kama ka mtetemo kadogo tuh
Aisee haya mambo kumbe yapo?Katika kumbukumbu zangu hili ni dogo kipindi cha nyuma ilikiwa inavunja vyombo kwenye kabati Wakawa wanasema Mlima Lengai au Oldonyo Lengai Mizimu ya Kimasai inahitaji tambiko na kweli ilikuwa wakifanya inatulia
Yapo na ni kweli yalikuwa yanatulia vizuri tuuuAisee haya mambo kumbe yapo?