Tetesi: Clouds Media na 'mpunga' wa Zari (Revealed)

Aaagh mkichangia pesa za party za harusi, sendoff etc mnalipa kodi?

Huwa hazifiki kiwango cha kulipia kodi plz hebu nimstue Waziri kuwa kuna hela yetu inaenda Uganda bila kodi. Mwigulu Nchemba plz hili linaruhusiwa kweli ndio maana mdola unapanda daily
 
Last edited by a moderator:

Hesabu ngumu...ila kigumu zaidi ni kutengeneza uongo..hicho ni kipaji si kila mtu amepewa....mtoa mada hana hicho kipaji namshauri aachane na hii fani
 
Yaani na bosi ya Johnnie Walker alikuwepo...mzungu (nimesahau walisa lugha gani au sikusikia)...alikuwa na translator....ana smile hakunaga furaha ya kukubali party na kuchekelea.... .....hakunagaaaaaaaaa.....alipanda stejini.....party party......
 


RIPORT YA ZARI ALL WHITE PARTY
Tiket za elfu hamsini zimenunuliwa 1200
1200×50000
Za laki moja zimeuzwa 700
700×100000
Za milioni moja zimeuzwa 300
300×1000000
Za milioni tatu zimeuzwa 200
200×3000000
Walionunua code za online ni zaidi ya laki mbili
3000×200000
Jumla wamehudhulia watu zaid ya 3000 na complimentary zilitolewa 750
JUMLA
ZARI ALL WHITE PARTY IMEINGIZA
BILIONI MOJA NA MILIONI MIA NANE
Hii ni rough figure
1,800,000,000 per nite 🙆
😱😱mbona kila mtu anachanganua kivyake???ngoja nimtwangie diamond
 
Diamond alialika wasanii 100 yaani walialikwa na wakatimiwa ma limo kuwabeba kuwapeleka kwenye party...
 

😀😀😀labda walibebana mkuu..kwani kubabena si imo😎
 

Mboni kama ww ndo umeumia zaidi?, hata kama wamepata 200 million weye una ngapi mpaka ukalie majungu hapa?, mfyuuu
 
Tukumbuke mtoa uzi kasema ni tetesi,, maana naona watu mwatoka povu humu
 
Zari na Diamond waliona mbali,maadam Ruge alionyesha nia ya kununua tamasha basi wangekataa Clouds wangelififisha na hivyo kukosa mapato hata hayo waliyoyapata!ni mawazo yangu tu msinihukumu.
 
Zari’s Tanzania All White Party going down today.Bigeye.ug

UGANDA HIYOOOO

******************

ZARI’S TANZANIA ALL WHITE PARTY GOING DOWN TODAY.

Big Eye / May 1, 2015By Stuart G-khastAs Ugandans prepare for Chameleone’s Wale Wale and King Saha’s Gundeeze concerts, Tanzania’s party animals await the Zari all white party that is going down tonight.The Zari all white party, the Tanzanaian version just like the Ugandan version last year, will feature Tanzania’s best artiste Diamond Platnumz this evening.

Zari is said to have invited all her friends across the globe among which include Huddah Monroe & Eric Omondi from Kenya, Ahumuza Brian and Kim Swagga from Uganda , all her family members including her sisters, her mother, her young brother alongside a couple of other friends too.
Zari anticipates to make close to 500 Million shillings tonight if all goes as planned.
Zari and her boyfriend have for the past one or so months given the event much hype and today is the day the pair once again show up in Tanzania as
man and wife
.







 

Attachments

  • zari11.png
    127.2 KB · Views: 412
  • zari-party.png
    106.4 KB · Views: 384
wakiwa clouds na kwenye party
 

Attachments

  • Screenshot_2015-05-01-19-40-18.jpg
    27.2 KB · Views: 382
  • zari wetu.jpg
    31.3 KB · Views: 362
  • malovee2.jpg
    24.7 KB · Views: 352
  • ZARIDIAMOND38.JPG
    38.4 KB · Views: 389
Huwa hazifiki kiwango cha kulipia kodi plz hebu nimstue Waziri kuwa kuna hela yetu inaenda Uganda bila kodi. Mwigulu Nchemba plz hili linaruhusiwa kweli ndio maana mdola unapanda daily


Sasa wewe naona una yako, hivi kama wanapokuja wale wasanii wa hata USA walisemaje wanapopataga pesa zao? Eti kwenda Uganda kwani Uganda hawaishi watu?

Nyie mmekatazwa kufanya party Tanzania, kama mlikuwa hamna ubunifu basi kopini aliyofanya Zari nanyi mjipatie pesa zenu mkatumie kariakooo kabisa soko letu kubwa.

Hivi kweli wanaosema party imeliza wengi kwa wivu hawajakosea...kama ni haki za kodi si uende TRA ukaripoti basi. TRA wapo nenda ukawaripoti...usisahau kuwapa na anuani wanaishi wapi. sawa?
 
mzurimie tunajaribu kutafta kodi ya kuendesha nchi we unaleta mahaba. Hiyo sio siasa ndo hali halisi tena hii nchi inapambana na muuza saa kariakoo akati kuna 700mill imeingia na inaondoka bila kodi na wewe eti unasema ni wivu. Nakuomba Chabruma nisaidie kumwambia DC wetu kama wilaya imeingiza kiasi gani kwa onesho lile kufanyikia wilayani kwake. Na pia tujue TRA imelamba ngapi. Nchi ndo inaendeshwa namna hyo sio kuwaonea wafanyakazi kwa kuwakata mikodi tu
 
Last edited by a moderator:
Duuh hii book keeping ya wapi kuwe na mapato tu hakuna gharama/matumizi mfano mapambo ,ukumbi na mengineyo..Au ukumbi unamilikiwa na Diamond/Zari?????ni swali tuu.

😄😄yaani kama ukumbi ni wenu na mmejenga kukofisha lazima na nyie mkodishe japo kwa kiasi kidogo.
 
Hesabu ngumu...ila kigumu zaidi ni kutengeneza uongo..hicho ni kipaji si kila mtu amepewa....mtoa mada hana hicho kipaji namshauri aachane na hii fani

Hakika huyu bwana ni muongo kupitiza afu hajui kudanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…