Uchaguzi 2020 Tetesi - Freeman Mbowe apangiwa njama ya kumchafua kuelekea mwisho wa kampeni

Uchaguzi 2020 Tetesi - Freeman Mbowe apangiwa njama ya kumchafua kuelekea mwisho wa kampeni

Uchunguzi unafanywaje wakati wahusika muhimu walikimbia nje ya nchi. Tumia akili hata kama hauna.
Uchunguzi wa yule kada wa ccm kule Tunduma unafanywaje wakati kada kishafukiwa kwenye sita kwa sita? Au wale watuhumiwa watafungwa tu bila ushahidi au police wataenda kaburini kumhoji kada? Mkuu sorry mimi si level yako
 
Ilirekodiwa mwaka 2017 wakati wanapanga!
Bashite ndiyo alifanya uharamia wote hata mje na Sinema gani hamtaweza kumchonganisha Lisu na mbowe kwa report ya FBI wa ubalozi wa marekani ilimpa Lisu list ya watu wote waliopanga njama za kumuua
 
Ngoja niwasliane na viongozi wangu wa chadema wa makao makuu nione kama kuna kitu kama hiki. Nitakuja kuwajuza vizuri
 
Uchunguzi wa yule kada wa ccm kule Tunduma unafanywaje wakati kada kishafukiwa kwenye sita kwa sita? Au wale watuhumiwa watafungwa tu bila ushahidi au police wataenda kaburini kumhoji kada? Mkuu sorry mimi si level yako
Nyaulingo hana miguu kawa kiwete lakini Bashite na cyprian Musiba wapo pindi Serikali ya chadema ikiingia ikulu wataitwa na kuhojiwa waseme ni nani aliwatuma kufanya unyama ule
 
CCM wakitaka kutajwa mpaka majina embu wajaribu kuleta longolongo, kwa walipofikia CHADEMA ni kwenye point of no return ukiwagusa unanuka wewe na lazma uchache. kuna imani imeshajengeka kuwa CCM WAONEVU kwa UPINZANI.
 
Mods ondoeni huu ushuzi. Hauna afya. Mmeanza kuweweseka baada ya kusikia pole pole Jana anasema siku 15 za mwisho watatoa makombora mpaka mpoteane hapo ufipa.
Polepole ataua ccm huku mnakenua meno , kila kitu kimevuja baada ya Wazalendo kukataa ujinga
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017

Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .

Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .

Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa


Ndugu Mleta Mada, Wajinga ni nyie tuu, Habari kama hizi sio za kuletwa kijinga na mtu kama wewe, Kama kuna kitu kama hiki basi ujue kuwa ni kitu kinajengwa na nyinyi wenyewe, na mumeshanaza kuchafuana. kwa muda wa wiki mbili sasa, kumekuwa na manunguniko mengi kwa namna CAMPAIGNE ya Lissu inavyoendeshwa, mara nyingi yuko pekee yake, Hapewi pesa za kutosha matumizi, hadi Mgombea anakuwa OmbaOmba.

Ukweli utajitokeza, hii funika uchafu unaoufanya, hauta fua dafu, ukweli lazima utajitokeza. CCM wangeliutengeza huo uongo kitambo sana, na kuwachonganisha, KUUTUMIA LEO NI UJINGA NA HAKUNA ATAKAYE KUBALI HATA KAMA NI UKWELI, CCM hawataweza utumia leo, hata kidogo.

AMA HII HABARI NI YA UKWELI NA ILIKUWA IMEFICHWA MUDA WOTE, LEO WATU WAMESHIKANA, NA WALIOHUSIKA WANAONA MAMBO YA LISSU YANAKUWA MAZURI, NA HILI JANGA LITAKUJA KUWAKUMBA, HUU NDIO WAKATI MUAFAKA KUSUKUMIZIANA NA KUKASHIFIANA. AU KUNA WALE WABAYA NDANI YENU WASIO TAKA LISSU ASHINDE, KAMA WALIVYO BAADHI YA WANA CCM, WASIOMTAKA MAGUFULI ASHINDE.
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017

Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .

Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .

Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa
Mtaeleza tu hadi mwisho, na hilo gobole lilikuwa linamilikiwa na nani?, na baada ya uchaguzi mtafikiswa mahakamani.
 
Polepole ataua ccm huku mnakenua meno , kila kitu kimevuja baada ya Wazalendo kukataa ujinga
Wekeni hicho kilichovuja. Msidhani watu ni wajinga. Kila mtu anajua nani aliinjinia ule mpango. Ukweli huwa unachelewa lakini haufi.
 
Mnavyomchukia mbowe msingesubiri muda wote huo ila nawalaumu sana viongozi wa dini.
Mlifikiri kuna siri itadumu muda mrefu basi??

Hatimaye tunamwenda kufahamu ukweli wote,

Ndio maana humuoni majukwaani wakinadiana??
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017

Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .

Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .

Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa
Mbowe ni next level ,hakuna Cha kumtingisha,tulisema maridhiano ya kitaifa watu hawakutaka ,but some how yalikua ya msingi Sana ,kwa vyama vyote ,sema Basi ila yangesaidia Sana ,Basi bwana hakuna namna
 
Ndugu Mleta Mada, Wajinga ni nyie tuu, Habari kama hizi sio za kuletwa kijinga na mtu kama wewe, Kama kuna kitu kama hiki basi ujue kuwa ni kitu kinajengwa na nyinyi wenyewe, na mumeshanaza kuchafuana. kwa muda wa wiki mbili sasa, kumekuwa na manunguniko mengi kwa namna CAMPAIGNE ya Lissu inavyoendeshwa, mara nyingi yuko pekee yake, Hapewi pesa za kutosha matumizi, hadi Mgombea anakuwa OmbaOmba.

Ukweli utajitokeza, hii funika uchafu unaoufanya, hauta fua dafu, ukweli lazima utajitokeza. CCM wangeliutengeza huo uongo kitambo sana, na kuwachonganisha, KUUTUMIA LEO NI UJINGA NA HAKUNA ATAKAYE KUBALI HATA KAMA NI UKWELI, CCM hawataweza utumia leo, hata kidogo.

AMA HII HABARI NI YA UKWELI NA ILIKUWA IMEFICHWA MUDA WOTE, LEO WATU WAMESHIKANA, NA WALIOHUSIKA WANAONA MAMBO YA LISSU YANAKUWA MAZURI, NA HILI JANGA LITAKUJA KUWAKUMBA, HUU NDIO WAKATI MUAFAKA KUSUKUMIZIANA NA KUKASHIFIANA. AU KUNA WALE WABAYA NDANI YENU WASIO TAKA LISSU ASHINDE, KAMA WALIVYO BAADHI YA WANA CCM, WASIOMTAKA MAGUFULI ASHINDE.
baada ya habari hii kuwekwa jf wenzako wamekwishaanza kushikana uchawi huko , na sishangai wanaccm wote waliochangia hapa kupanic , sasa subirini uchafu wenu ulivyoshitukiwa na sasa tutaweka hadharani majina ya wapanga uchafu wote
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017

Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .

Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .

Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa
Mgombea urais wa maccm hana tofauti na gari la kubebea mkaa.
Tripu moja shamba kufuata mkaa
Tripu ya pili gereji

Unaposhabikia dhulma miaka 5 na kushabikia watendaji wa dhulma; na ukikalia kimya maiti kuokotwa kwenye viroba, wananchi kutekwa na kupotea, watu kubambikiwa kesi, biashara za watu kufungiwa - basi ujue umekosa uhalali wa kuongelea amani
 
baada ya habari hii kuwekwa jf wenzako wamekwishaanza kushikana uchawi huko , na sishangai wanaccm wote waliochangia hapa kupanic , sasa subirini uchafu wenu ulivyoshitukiwa na sasa tutaweka hadharani majina ya wapanga uchafu wote
Itakuwa ujasiri mkubwa ,mkiweka majina na ushahidi, kuweka majina bila ushahidi ni kuwabambikiza kesi watu wasio na hatia, hata mie naweza anza na majina
1. Ndugu Erythrocyte
 
Mbona una weweseka Acha ivuje tujue mbivu na mbichi, au ndio dj anaanza kujihami?
Alikoshambuliwa Mh Lissu ni eneo nyeti lenye ulinzi mkali wa Serikali. Mh Mbowe ana ubavu gani wa kupanga huo upuuzi pale??

Pili kama ndivyo miaka yote vyombo vya usalama vilikuwa wapi?

Tatu kwanini Mh Lissu alinyimwa matibabu yake kugharamiwa na Serikali? Kwanini alivuliwa Ubunge wake??
Watz siyo Wajinga na ccm isipokuwa makini wanaweza jiangamiza wenyewe.
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017

Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .

Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .

Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa
Wanatafuta silaha za kubahatisha na kunjunga sasa
 
Mnavyomchukia mbowe msingesubiri muda wote huo ila nawalaumu sana viongozi wa dini.
Mkuu usiwalaumu Viongozi wa Dini kwani hata wao ni Binadamu wenye Roho na Mwili wa Nyama kama sisi. Walitishwa sana ktk awamu hii ya tano. Wote walipewa miongozo namna ya kufanya shughuli zao za Kiroho ikiwemo kusifu na kuimba habari za Bwana Yule.
 
Back
Top Bottom