Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Ya
Yani kinachoiponza gvt ya magu ni uibilisiibilisi. Mbona nyie hamumhoji medard kalemani ?Why video call? Kinachomfanya asije physically ni nn? Kwenye mahojiano kuna facial expressions ambazo zinatoa signal kama mtu anaongopa ama la. Sasa endapo watu wakigundua huyo Dereva wanamtiaje hatiani kwenye video call?