Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Tutaendelea kufichua uchafu wote bila hurumaWanatafuta silaha za kubahatisha na kunjunga sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaendelea kufichua uchafu wote bila hurumaWanatafuta silaha za kubahatisha na kunjunga sasa
Ni aibu kubwa sana kwa viongozi wa dini kumwabudu binadamuMkuu usiwalaumu Viongozi wa Dini kwani hata wao ni Binadamu wenye Roho na Mwili wa Nyama kama sisi. Walitishwa sana ktk awamu hii ya tano. Wote walipewa miongozo namna ya kufanya shughuli zao za Kiroho ikiwemo kusifu na kuimba habari za Bwana Yule.
Alikoshambuliwa Mh Lissu ni eneo nyeti lenye ulinzi mkali wa Serikali. Mh Mbowe ana ubavu gani wa kupanga huo upuuzi pale??
Kwa hiyo Freeman alikutana na Makonda na Jiwe kupanga namna ya kushambulia sio?Mlifikiri kuna siri itadumu muda mrefu basi??
Hatimaye tunamwenda kufahamu ukweli wote,
Ndio maana humuoni majukwaani wakinadiana??
😆😆😆Kwa hiyo Freeman alikutana na Makonda na Jiwe kupanga namna ya kushambulia sio?
Hakika huyu Freeman ni wa shoka, hadi akatoa maagizo kwa polisi walinzi wa makazi anayoishi Naibu spika na mawaziri wa serikali waondoke ili Bashite na wenzake waingie kwa urahisi kumshambulia Lissu kisha akaagiza tena CCTV za nyumbani kwa waziri ziondolewe.
Na bado wanamgwaya kumkamata MTU huyu gwiji wa siasa!
Polepole you need your head to be examined.
Mbowe ana nguvu sana !..hapo ndipo waliponasa.
..nani aliondoa walinzi wa area D siku aliyoshambuliwa TL?
..aliyeondoa walinzi alitumwa na nani?
Acha ukweli ujulikane
angalia picha hii kwa makini halafu tunga sentensiAcha ukweli ujulikane
Siasa za maji takaView attachment 1581635
Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017
Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .
Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .
Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa
Mbona hakuna Tanzania DaimaKesho gazeti la Tanzania Daima wakiitoa habari hii ujue mpango mzima utaahirishwa, japo wahujumu wataandaa tuhuma nyingine.
Hii ni kuhusu mkutano wa Raisi Kikwete Hai, walizungumzia barabara. Wewe unataka kusema magufuli amekasirika. Apana Raisi kila anapokwenda anakutana na mbunge wa jimbo
Ungekua unatumia asilimia 3 tu ya akili alizo kupa mwenyenzi Mungu, usingeandika hiyo sentensi! Unajua ni miaka mingapi imepita tangu 2017? Watu mlitaka CHADEMA ife, mkampa Mbowe kesi ya risasi iliyo piga samalosolti hewani ikamuua Aquilina? Si mngekua mmeshamfunga Mbowe kifungo cha maisha, muachane na stress anazo wapa? Hivi unajua kuna kijana mzito sana anaitwa Miraji aliwai kuleta mtambo anatuma meseji kupitia simu za watu, anatukana na kutishia kuua, ili kuwabambikia watu kesi, na akashindwa tu??!Ilirekodiwa mwaka 2017 wakati wanapanga!
Umeambiwa tunga sentensi, hapa umeleta sentensi mbili ambazo hazija kamili! Hebu fanya masahihisho!Hii ni kuhusu mkutano wa Raisi Kikwete Hai, walizungumzia barabara. Wewe unataka kusema magufuli amekasirika. Apana Raisi kila anapokwenda anakutana na mbunge wa jimbo
😆😆😆Umeambiwa tunga sentensi, hapa umeleta sentensi mbili ambazo hazija kamili! Hebu fanya masahihisho!
hizi zimezidi maji taka , hizi ni siasa za mauajiSiasa za maji taka
Tena za kuwauawa wenyewe 'za kujiua wenyewe'hizi zimezidi maji taka , hizi ni siasa za mauaji