Uchaguzi 2020 Tetesi - Freeman Mbowe apangiwa njama ya kumchafua kuelekea mwisho wa kampeni

Uchaguzi 2020 Tetesi - Freeman Mbowe apangiwa njama ya kumchafua kuelekea mwisho wa kampeni

View attachment 1581635

Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017

Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .

Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .

Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa
Erythrocyte achana na washenzi hao! Kama siyo Mbowe, Lisu angelikuwa maiti. Ile Mbowe kukataa kata kata, mvua inyeshe isinyeshe hakuna kwenda Muhimbili , kumpeleka Lisu Muhimbili ndiyo ilimuokoa Lisu, halafu jitu linasema eti Mbowe sijui nini.. achana na maiti hao!
 
Ungekua unatumia asilimia 3 tu ya akili alizo kupa mwenyenzi Mungu, usingeandika hiyo sentensi! Unajua ni miaka mingapi imepita tangu 2017? Watu mlitaka CHADEMA ife, mkampa Mbowe kesi ya risasi iliyo piga samalosolti hewani ikamuua Aquilina? Si mngekua mmeshamfunga Mbowe kifungo cha maisha, muachane na stress anazo wapa? Hivi unajua kuna kijana mzito sana anaitwa Miraji aliwai kuleta mtambo anatuma meseji kupitia simu za watu, anatukana na kutishia kuua, ili kuwabambikia watu kesi, na akashindwa tu??!
Kwa kuhitimisha;, Una akili za kukutosha kabisa, lakini unatumia kidogo tu, kuvuka barabara, hasa kwenye mataa!
 
Erythrocyte achana na washenzi hao! Kama siyo Mbowe, Lisu angelikuwa maiti. Ile Mbowe kukataa kata kata, mvua inyeshe isinyeshe hakuna kwenda Muhimbili , kumpeleka Lisu Muhimbili ndiyo ilimuokoa Lisu, halafu jitu linasema eti Mbowe sijui nini.. achana na maiti hao!
 
Sasa huo mbona utakuwa utoto uliopitiliza hivi kweli utoe sauti kwamba mtu aliyetaka kumdhuru mtu unayorecord yake alafu ulikuwa umekaa nayo tu unasubiri agombee uraisi ndo uitoe puplic huoni Kama utaonekana ni mjinga usiye na viwango? Kama wakifanya hivyo watajishusha sana hebu wasituharibie chama kwa mambo ya kitoto Kama hayo.
 
Sasa huo mbona utakuwa utoto uliopitiliza hivi kweli utoe sauti kwamba mtu aliyetaka kumdhuru mtu unayorecord yake alafu ulikuwa umekaa nayo tu unasubiri agombee uraisi ndo uitoe puplic huoni Kama utaonekana ni mjinga usiye na viwango? Kama wakifanya hivyo watajishusha sana hebu wasituharibie chama kwa mambo ya kitoto Kama hayo.
Hawanaga aibu hao watu mkuu
 
View attachment 1581635

Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017

Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .

Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .

Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa
Kama ni kweli Hiyo studio huitakii mema ...uropokaji mbaya Sana...
 
Kama ni kweli Hiyo studio huitakii mema ...uropokaji mbaya Sana...
haya mambo yana gharama zake , studio iliyoamua kushirikiana na Shetani iache ivune ilichopanda
 
Lissu akiingia Ikulu siku mia moja za kwanza ahakikishe Makonda na kundi lake wanapandishwa kizimbani
Hizo ndoto za chumbani zinatujazia memory tu..eti Lissu aingie ikulu..kufanya Nini amesahau kule..ikulu?khaaaaa...
 
Alafu siku zote mtu anayekutumia kwenye ubaya ili ajinufaishe inatakiwa umkatae kwa akili Sana maana akishamaliza kukutumia na wewe uliyetumika unakuwa adui yake maana umejua Siri zake ovu lazima atafute njia ovu za kukuumiza na wewe. Kila mtu ana spirit guide wake na wengine wameongezewa na matambiko ya familia zao unaweza kufanya ubaya kwake ukajikuta wewe ndo unaharibikiwa hata usipotegemea so tujitahidi kujiepushs na waovu ili wasituumize wakishafanikiwa Mambo yao.
 
Mkuu usiwalaumu Viongozi wa Dini kwani hata wao ni Binadamu wenye Roho na Mwili wa Nyama kama sisi. Walitishwa sana ktk awamu hii ya tano. Wote walipewa miongozo namna ya kufanya shughuli zao za Kiroho ikiwemo kusifu na kuimba habari za Bwana Yule.
PONDA
BAGONZA
Mwingira
BANDEKILE
SHOO

UNAWAWEKA KUNDI LA MASHUJAA AU LA?
 
Aliyetoa CCTV tunamtaka pia,maana bila huyo hiyo single wataishia kuisikiliza Lumumba,na Mungu si Magufuli haangalii sura
 
Mlifikiri kuna siri itadumu muda mrefu basi??

Hatimaye tunamwenda kufahamu ukweli wote,

Ndio maana humuoni majukwaani wakinadiana??
Hajat karibu ubwabwa,njoo upakuliwe
IMG_20200926_152400.jpeg
 
Yule dereva alisema yuko tayari kuhojiwa kwa njia ya video call lakini mpaka sasa polisi hawajamuhoji
Why video call? Kinachomfanya asije physically ni nn? Kwenye mahojiano kuna facial expressions ambazo zinatoa signal kama mtu anaongopa ama la. Sasa endapo watu wakigundua huyo Dereva wanamtiaje hatiani kwenye video call?
 
Why video call? Kinachomfanya asije physically ni nn? Kwenye mahojiano kuna facial expressions ambazo zinatoa signal kama mtu anaongopa ama la. Sasa endapo watu wakigundua huyo Dereva wanamtiaje hatiani kwenye video call?
Unatia huruma sana ! Hakuna aliyefanikiwa kumtetea shetani , wewe utakuwa wa kwanza
 
Kumbe ndo maana Mbowe kampeni hizi yupo kimyaa.kumbe ndo alipanga mipango mibaya ya kummaliza Lissu Dodoma!!
Mbowe anaroho ya kinyama sana huyu babu.
 
Back
Top Bottom