Tetesi: Rwanda yanunua madini kwa siri nchini Tanzania na kuyauza tena kwa kampuni ya Apple

Jukumu la usalama ni letu sote toa hizo Intel info watu wafanye kazi
 
Hakuna tatizo isipokuwa tumezidiwa ujanja tu na Rwanda yeye katafuta soko la uhakika kutoka kwa apple
 
Jukumu la usalama ni letu sote toa hizo Intel info watu wafanye kazi
Kama hawayajui hayo na wanalipwahawafai kufanya hiyo kazi, baada ya kutoa intro waingie kazini waujue ukweli sio wakae ofisini
 
Ni uhuni na upuuzi wa kiwango cha juu, ni dharau kwa mataifa jirani.
 
Unafahamu uharamia wa makampuni ya kibepari? Wananunua madini mengine wasiohitaji na kuuza kwa washirika wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…