Tetesi:udsm yapunguza udahili kwa zaidi ya 30% katka mwaka wa masomo 2013/14.

Tetesi:udsm yapunguza udahili kwa zaidi ya 30% katka mwaka wa masomo 2013/14.

Hawa wafunzi wa UDSM wana dharau sana vyuo vingine na kujiona wao ni kama Havard au MIT .... Mie sikua na lengo la kufikia hapa tulipofikia...
Okey.. bro nimekupata. Haina haja ya kushindana nao maana wote tuliopo vyuoni lengo letu ni moja regardless mtu anasoma chuo gani.
 
Tangu lini UD ikawa TCU?
Udahili ni kazi ya TCU, we msomi mzima unafanyia kazi tetesi za secretary bila kuchunguza?
 
Kwa kweli huwa nawahurumia sana wanaoona UDSM ni bora sana kuliko vyuo vingine.Wengine tumesoma hivyo mnavyoita vya kata lakini tunapasua anga huku duniani.
 
hata kama ni za kawaida.mbona wewe ulishndwa kuzipata,ukaishia kupelekwa huko muccobs chuo ambacho hadhi yake ni sawa na secondary ya kata?

wewe bata kweli udsm , nina marafik zangu wanasoma sociology ,education na pspa walikuwa na three,sasa hiv kwa mfumo wa t.c.u hata ukiwa na one au two unaenda popote
 
wewe bata kweli udsm , nina marafik zangu wanasoma sociology ,education na pspa walikuwa na three,sasa hiv kwa mfumo wa t.c.u hata ukiwa na one au two unaenda popote

Leo naona umekaa sawa kumbe ulikuwa unajifanyisha kuiponda UDOM kuwa ni ya watu waliofeli kumbe hata UDSM wapo.
 
Hayo maswali ya sifa za kujiunga udsm ziko je.nadhan iko open,udsm wanachukua cream zote zinazotaka kusoma masomo yanayohusiana na uhandisi,uchumi na biashara,sheria,ualimu,na kozi zingne za arts na science..sasa kwa mwaka huu vijana wengi wamepata dv 3 tena zile chafu kitu ambacho kinawanyima sifa ya kuja mjengoni.

WEE perry three yoyote ni chafu, na katika comment yako umetumia neno three chafu , so udsm wanachukua three zile safi kama 13,14 kama marafiki zangu waliopo hapo pspa ,umekiri lakini kumbuka three yoyote ni chafu mkuu
 
UDSM is the no.1 versity in TZ. so lazma sifa za kujiunga ziwe tofauti na vyuo vingine.hawabebibebi hovyo kama UDOM na wengine wengi.

ni ukosefu wa akili kuringanisha udsm na chuo kichanga kama udom,linganisha udsm na vyuo kama makerere ,nairob universty,vyuo hivi vya kenya na uganda vimetuacha mbali sana.

haitashangaza miaka michache udsm kupitwa kwa mbali na vyuo kama udom,saut,mzumbe.unakuta kuanzia prof,tut assi,wanafunzi wanatumia mda mwingi na nguvu nyingi kukiponda udom na wao kujiona ndio bora.
tunaitaji publications nyingi na zenye manufaa kwa nchi toka kwa maprof & dokta toka udsm na si kuendesha majungu kwa chuo kichanga ambacho bado kinakuwa kama udom.
 
kweli hata kaka yangu alipata dv 3 point 13 anasoma BaEd UDSM

UDSM pakawaida ni bora mtu kupita specialschool kama mzumbe,kibaha,taboraboys,ilboru ambapo tunaamini kweli ndo kuna cream ya taifa, ambapo wanachukua one pekeyake ,udsm one mpaka iii. zipo
 
moja ya strategic plan ya UDSM ilikuwa kupunguza udahili wa wanafunzi wa shahada ya kwanza na kuongeza udahili ya shahada ya pili na zaidi, au kifupi ni kuwa mpango wa serikari ni kuwa UDSM kwa baadae wajikite kwenye udahili wa wanafunzi wa masters na zaidi na kupunguza wanafunzi wa degree ya kwanza.

source; Soma startegic plans za udsm

wewe ni msomi uliyeelemika,utafika mbali
 
Ungejaribu uone kama hata form wangekupa

WEeee nimesoma o level mzumbe sec advance taboraboys , nimepata one level zote ,UDSM NI PA KAWAIDA SANA MPAKA THREE WAPO HAPO WASHKAJI WENYE THREE UDSM HAMNA UPEKEE KWA MIAKA HII UDSM ILIKUWA ZAMANII ENZI za kina dr.migiro, hamud majamba
 
hata kama ni za kawaida.mbona wewe ulishndwa kuzipata,ukaishia kupelekwa huko muccobs chuo ambacho hadhi yake ni sawa na secondary ya kata?

Halafu anataka tumwamini kuwa yuko Chuo Kikuu! Tehe tehe. Kile chuo yuko jamaa yangu pale anafundisha kwa hivyo napajua ipasavyo. Huwezi kuilinganisha sekondari yoyote serious na Muccobs achilia mbali chuo cha maana.
 
Hayo maswali ya sifa za kujiunga udsm ziko je.nadhan iko open,udsm wanachukua cream zote zinazotaka kusoma masomo yanayohusiana na uhandisi,uchumi na biashara,sheria,ualimu,na kozi zingne za arts na science..sasa kwa mwaka huu vijana wengi wamepata dv 3 tena zile chafu kitu ambacho kinawanyima sifa ya kuja mjengoni.

WEWE PERR WEWEE KIPINDI KILE ZEDUDUZ ANATOA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA UDSM ,ULIWAHI KUMUULIZA ZE DUDUZ" KWA KOZ ZA BIASHARA WAMECHUKUA MPAKA THREE ?" hilo ni swali ulimuuliza ze duduz ikimaanisha wewe ulikuwa na three
 
Halafu anataka tumwamini kuwa yuko Chuo Kikuu! Tehe tehe. Kile chuo yuko jamaa yangu pale anafundisha kwa hivyo napajua ipasavyo. Huwezi kuilinganisha sekondari yoyote serious na Muccobs achilia mbali chuo cha maana.
NIMESOMEA SECONDARY ZA VIPAJI MAALUMU ,
WEWEE NIMESOMA SPECIAL SCHOOL FORM ONE MPAKA SIX NA KOTE NIMEPATA ONE , HALAFU HUNA AKILI UTAFANANISHAJE CHUOKIKUU NA SECMDARY MUCCoBS IMEANZISHWA MIAKA YA 60, NA NDIO CHUO PEKEE KINACHOFUNDISHA MASOMO YA USHIRIKA,
 
Back
Top Bottom