Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu sio mpira sasa ni uchawiHizi habari si za kweli. Simba hawawezi mchukua Ngoma. Huyu anakuja cheza Yanga piga ua. Acheni kujitekenya na kucheka wenyewe.
View attachment 2678325
tusubiriHizi habari si za kweli. Simba hawawezi mchukua Ngoma. Huyu anakuja cheza Yanga piga ua. Acheni kujitekenya na kucheka wenyewe.
View attachment 2678325
Na aliyewaita Uto Nyani aliwaza karibu? Kwanza mmemlipa hela zake? Kutukana amewatukana na hela mtampa, mtake msitake! Na dogo namba 6 iliyomuwa inasubiriwa kwa hamu ishachukuliwa na wajanja!Aliyewaita mashabiki wa simba ni mbumbumbu, aliwaza mbali sana. Yaani kwa namna wanavyosimulia hilo tukio, unaweza ukafikiri labda huyo Fabrice Ngoma atacheza peke yake uwanjani!
Wiki iliyopita walisema Yanga kazuiwa kusajili, huyo waliompora alitakiwa kusajiliwa na Yanga ipi?Duh kwel Simba noma ndege ikiwa angani mazungumzo yakafanyikia humo humo, agent alikua humo humo terms za mkataba zikaweka humo humo!
Kupata vichekesho kama hv bonyeza *666#
Propaganda za kizamani Sana yaan watu wengi wanatamani wafanye propaganda lkn hawana welediWiki iliyopita walisema Yanga kazuiwa kusajili, huyo waliompora alitakiwa kusajiliwa na Yanga ipi?
Namalizia KISA CHA MBUYU TWITE KIMELIPWAMsemaji wa Yanga SC Ali Kamwe utaweka wapi Sura yako kwani huyu Mchezaji ulimtambia mno kwamba ndiyo atavaa Jezi #6 ya Yanga SC na hatimaye ameshasinya na Simba SC.
Unaambiwa wakati Watu wa Yanga SC wakimuwahi kumpokea JNIA Terminal III Leo Saa 11 Alfajiri kumbe Wenzao ( Watu ) wa Simba SC Kimafia walimtuma Mtu huko huko alikotoka na akasafiri nae kwa Ndege na Kukaa nae Siti Moja na Kumtolea Mkataba na 'Kuusinyia' huko huko Angani na Kumaliza na Ndege ilipotua tu Mipuuzi ya Jangwani wakiwemo Marafiki zangu Bhinda na Motisha wakijiandaa Kumpokea na Kumbebea Mabegi wakamkosa kwani Yule Mafia wa Simba SC alimpitishia Mlango mwingine kisha akakuta Gari limeshaandaliwa na 'Faster' likaondoka na sasa Mchezaji huyo anayetokea nchi yenye Machafuko kutokana na Marafiki Wakubwa Kusalitiana yuko Kajipumzisha katika Hoteli Moja Kubwa Jijini Dar es Salaam yenye Sifa ya Kubadili Jina lake kila baada ya miaka Mitano au Saba au Kumi.
Kisasi cha Mbuyi Twite kimeshalipwa.
Kudadadeki....!!