Tetesi za Fabrice Ngoma kutekwa na Simba

Simba wamepata NGOMA.

YANGA watamtambukisha mchezaji wao saa nane usiku.

PUNGUZA kujaza Seva JF
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi UTO ni mazuzu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyewaita mashabiki wa simba ni mbumbumbu, aliwaza mbali sana.
 
Aliyewaita mashabiki wa simba ni mbumbumbu, aliwaza mbali sana. Yaani kwa namna wanavyosimulia hilo tukio, unaweza ukafikiri labda huyo Fabrice Ngoma atacheza peke yake uwanjani!
Na aliyewaita Uto Nyani aliwaza karibu? Kwanza mmemlipa hela zake? Kutukana amewatukana na hela mtampa, mtake msitake! Na dogo namba 6 iliyomuwa inasubiriwa kwa hamu ishachukuliwa na wajanja!
 
Kugombea wachezaji mambo ya kizamani ,kama mna maskauti wazuri mnaweza kupata wachezaji wa bei rahisi, wakaja kuwafanyia kazi ya bei kubwa, kama ilivyokuwa kwa Kante/ Marhez/ Vady na Leicester. Basi tu sometimes tunakiwa excited na hawa wachezaji ila uwanjani unaweza ukakuta hamna kitu.
 
Zama zakudandia mchezaji amabye hukuwa na mipango naye nao ni ushamba wa soka la Tz, sindio anakuja anakaa benchi mnaanza kumtukana kocha?, Sidhani Kama huu upuuzi bado upo kwenye mpira wa kisasa ambao unaendana sayansi
 
Duh kwel Simba noma ndege ikiwa angani mazungumzo yakafanyikia humo humo, agent alikua humo humo terms za mkataba zikaweka humo humo!




Kupata vichekesho kama hv bonyeza *666#
Wiki iliyopita walisema Yanga kazuiwa kusajili, huyo waliompora alitakiwa kusajiliwa na Yanga ipi?
 
Juzi si mlituambia Yanga kafungiwa kusajili? Tukaonyeshwa mpaka na TMS ikionyesha hivo sasa inakuaje Leo mnanyang'anyana mchezaji na timu ilofungiwa kusajilišŸ˜‚

Yaani mda mwingine mpaka najiuliza kushabikia mpira TZ lazima uwe chizi
 
Namalizia KISA CHA MBUYU TWITE KIMELIPWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…