Tetesi za Fabrice Ngoma kutekwa na Simba

Washasema huko wala walikuwa hawana mpango nae, utafikiri sio wao waliomkatia tikiti ya ndege na kukesha eapoti na jezi namba 6
 
Ungempa credit Miky.

Jamaa ANAANDIKA ukweli MTUPU.

WACHAMBUZI wetu WA MCHONGO wanashinda kwenye Account yake kuchungulia.
 
Hizo sajili tuhifadhi maneno, mimi baada ya mechi kama tano hivi nitakuwa na cha kuongea maana hizi club zetu madalali kibao.
 
Hio ndege imekua kama mnada sasa
 
Yanga walituzoea vibaya hadi wakajiona mji ni wao hadi viongozi wakaanza kujiita wahuni. Msimu huu tuwakumbushe ujanja tumeanza kuujua sisi, kama mbwai iwe mbwai
damu lazima imwagike sio? πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…