Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.
Kidato cha sita wanaanza mtihani jumatatu mpaka leo hakuna taarifa yoyote juu ya mtihani huo kwa nini?
 
Kwa nini?matokeo ya kidato cha nne hayatangazwi mpaka leo wakati walisema ni tarehe 8 yatakuwa displayed
 
Hakika watanzania bd wana roho nyepesi za kuamini kila kitu.Yaani bd watu mmekazana kuamini uzushi wa mjinga huyu aliyeanzisha ukurasa wa facebook kwa jina la NECTA?ndio maana 2nalagaiwa mno na wanasiasa
 
kwel jaman watoto wnapresha ile mbaya kwann msiyatoe 2 wazaz 2jue moja?
 
mmeanza Yosso! Itakuwa tabu tupu humu sasa. kama ulisoma kwa kutimiza wajibu, tulia utapata ulichopanda.
 
Jamani Matokeo bado hayajatoka, yangekuwa tayari si mngewaona hawa ndugu zetu wakiandamana kuwa wamefelishwa makusudi. Wakati wenzao wanapiga book kujiandaa na exam wao wanakaa kujipanga namna watakavyoandamana matokeo yakitoka. Ama kweli munyaaaazi mungu ana watu.

Munyaaaazi mungu subana wa taala,ha ha ha

Mi nashauri wapewe A wote,wapige pointi saba wote kuzuia uvunjifu wa amani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom