Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.
Unafanya kazi NECTA ipi ndugu yangu, labda unafanya kazi za ufagizi hapo wala haya mabo huyajui kabisa ila kama unafanya hapo utakuwa haupo pamoja na mabosi wako
angalia hizi statement toka NECTA kupitia FBP- juzi 07/02/2013 walisema "Mambo yakienda vizuri kama tulivyopanga, matokeo tutayatoa kesho. Kwa kudokezea ni kwamba wasichana wameng'ara sana kwenye mitihani ya mwaka 2012.
Tuombe Mungu kila kitu kiende kama tulivyopanga"
na jana 08/02/2013 walisema " Habari za mchana. Shughuli ya kuingiza matokeo kwenye tovuti yetu bado inaendelea na kwa kiasi kikubwa imekamilika. Kama alivyosema msemaji wetu, tunajitahidi watahiniwa wa kidato cha nne mwaka 2012 waweze kupata matokeo yao leo hii. Mchana mwema." sasa wewe unafanya kazi NECTA ya nyumbani kwenu au kwa mjomba wako nini? https://www.facebook.com/pages/National-Examination-Council-of-Tanzania-NECTA/101411643286736

dah hahahahah umemuweza huyu jamaa anaesema kuwa anafanya kaz NECTA
 
Tetesi: matokea yamezuiliwa hadi hapo serikali itakapotoa tamko rasmi kuhusu mitaala.
 
hadi hamu inaisha, labda next week.
 
Kina ustaaaazi hawapendi elimu dunia,wanaacha kuhamasishana wapende shule wanabaki kulalamika tu !
 
Tumechoka na hizi story ambazo hazina ukweli wowote, kila mtu anaongea lake, tumwamini nani sasa?
 
Habari wana JF,
kwa tetesi fulan inasemekana matokeo yanatoka tar.10 ya kesho.
 
Watakuwa wameyachakachua (standardize) kama matokeo ya darasa la saba ili ionekane kwamba ufaulu umepanda.
 
Unafanya kazi NECTA ipi ndugu yangu, labda unafanya kazi za ufagizi hapo wala haya mabo huyajui kabisa ila kama unafanya hapo utakuwa haupo pamoja na mabosi wako
angalia hizi statement toka NECTA kupitia FBP- juzi 07/02/2013 walisema "Mambo yakienda vizuri kama tulivyopanga, matokeo tutayatoa kesho. Kwa kudokezea ni kwamba wasichana wameng'ara sana kwenye mitihani ya mwaka 2012.
Tuombe Mungu kila kitu kiende kama tulivyopanga"
na jana 08/02/2013 walisema " Habari za mchana. Shughuli ya kuingiza matokeo kwenye tovuti yetu bado inaendelea na kwa kiasi kikubwa imekamilika. Kama alivyosema msemaji wetu, tunajitahidi watahiniwa wa kidato cha nne mwaka 2012 waweze kupata matokeo yao leo hii. Mchana mwema." sasa wewe unafanya kazi NECTA ya nyumbani kwenu au kwa mjomba wako nini? https://www.facebook.com/pages/National-Examination-Council-of-Tanzania-NECTA/101411643286736

Wapendwa great thinkers! Mie hii FB page ya NECTA nasita kuiamini kabisa. Tangu last year ina operate kama kiinimacho fulani hivi wenye taarifa za kubahatisha kama tulizonazo wengi wetu, na wanaoi'operate' sio watu wa NECTA! Kwa kifupi hii page nayo ni janga la taifa!
 
Umenichekesha mkuu khaa....Mara nyingi vitu unavyo andika huwa ni vichekesho.....

Ni kama nikisikiliza Radio Iman huwa kama nasikiliza Radio ya vichekesho...Hafu nyie jamaa mmebobea kwa vichekesho kweli.....Sasa hata shule zenu si huwa walimu wanatoa vichekesho darasani badala ya kufundisha....Ndo maana matokea yenu pia yanakuwa vichekesho....

Nimecheka kweli dahh..

hilo nalo neno
 
waliofaulu 54% kati yao ni 5% tu ya muslim waliofaulu.....


Udini unakuwasha..eeenheee...wenzio hatukuwahi kujiuliza kuwa ukristo wangu utanibeba kwenye masomo...badala yake tulipiga msuri wa nguvu....bila kujali shida ya fedha au umbali wa shule. I am telling you, dini yangu haina uhusiano na maisha ya shule, kula kwangu au hata kuvaa kwangu...isipokuwa na kuuomba baraka za Mungu tu.

Mhe. Zumbemkuu, hakika mpaka unakufa hutakuja kufahamu wala kutambua kuwa udini ni ukichaa ambao unatakiwa kuuchukulia kawaida instead of becoming extremist.....!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom