Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.

Hiyo kweli naona madukani wasitishe kuuza sumu za panya kwa mda maana ni hataaree
 
watoto wa mama ntilie acheni presha za ajabu mnakua kama peter akingojea mchele ulio expire bwanaaaaaaaa!!!!!!!!
 
punguza presha , hiki ni kivuko ukifeli hapa ndio nitolee, maisha ndiyo yapokwamia au usubiri PC hune walivyo wakatili. Utasoma mapaka mvi bado hujapata CCC huendelee mbele
 
Ukipanda ubuyu huwezi kuvuna maharage. Yakitoka leo na hata kesho, haki yako ni ileile tu.
 
Una haraka gani? Kwani form five mnaanza kesho? Wewe tulia yatatoka tu, na yakitoka utuambie umepata nini siyo kukaa kimya!
 
tumesubiri mpaka tumechoka form six wanaanza mitihani kesho ila matokeo mpaka sasa hatujayaona mpaka sasa NECTA nni tatizo watoto watu wanapata shida jamani kiguu na njia internet kuanzia ijumaa mpaka jioni hii si mrelease hizo hizo result
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…