Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.
Hili swala la kuweka na Muda ni hatari sana!!
Kuna mtoto hapa mtaani kwetu juzi aliambiwa na wenzake kuwa majibu yametoka; kilichotokea alidondoka na kupoteza fahamu na alipofikishwa hospitali aligundulika kuwa ana tatizo la PRESSURE ya kushuka. Lakini hana historia ya ugonjwa huo.
Inelekea matokeo haya yanaweza yakatoka na 'misiba' pia!!!

Hiyo kweli naona madukani wasitishe kuuza sumu za panya kwa mda maana ni hataaree
 
watoto wa mama ntilie acheni presha za ajabu mnakua kama peter akingojea mchele ulio expire bwanaaaaaaaa!!!!!!!!
waiting.jpg
 
punguza presha , hiki ni kivuko ukifeli hapa ndio nitolee, maisha ndiyo yapokwamia au usubiri PC hune walivyo wakatili. Utasoma mapaka mvi bado hujapata CCC huendelee mbele
 
Ukipanda ubuyu huwezi kuvuna maharage. Yakitoka leo na hata kesho, haki yako ni ileile tu.
 
Una haraka gani? Kwani form five mnaanza kesho? Wewe tulia yatatoka tu, na yakitoka utuambie umepata nini siyo kukaa kimya!
 
tumesubiri mpaka tumechoka form six wanaanza mitihani kesho ila matokeo mpaka sasa hatujayaona mpaka sasa NECTA nni tatizo watoto watu wanapata shida jamani kiguu na njia internet kuanzia ijumaa mpaka jioni hii si mrelease hizo hizo result
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom