Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.
jamani basi yawekwe mtandaoni,watu tujijue mapema.
 
hv iyo tarehe nane ni kwel auu mnaxema kwa sababu baadhi ya miaka iliyopita matokeo yalitoka tarehe kama hiii!!!!
 
Ndugu wa Jf naomba kunihabarisha kuhusu matokeo ya kidato cha nne kwani huku niliko hata redio haisikiki mpaka nifike mji mdogo hapa kijijini
 
Hayawezi kuwekwa kwenye mtandao mpk waziri mwenye dhamana aongee na waandishi kwanza
 
Oooh my God!!! Mwanangu atakua amepita kweli??????
 
Jamani mbona hayatangazwi au ndio hadi bunge likiahirishwa?
 
Mkuu tuweke wazi mana hali imebadilika sasa presha ipo juu sana na moyo unaumia.naomba tujuze lini yatakuwa hewan kusudi tujue na wazaz jujipange mana nayo maisha magumu
 
Hayawezi kuwekwa kwenye mtandao mpk waziri mwenye dhamana aongee na waandishi kwanza

Hapana Mkuu, mwenye dhamana na matokeo haya ni Katibu Mtendaji. Kwenye mtandao pia yanakuwepo though huwezi kuya access hadi watu wa IT waruhusu yaonekane na kwa uzoefu hilo linafanyika baada ya press conference....
 
hata hivyo matokeo ya form 4 hayafanyi shughuli nyingine zisimame
 
Hapana Mkuu, mwenye dhamana na matokeo haya ni Katibu Mtendaji. Kwenye mtandao pia yanakuwepo though huwezi kuya access hadi watu wa IT waruhusu yaonekane na kwa uzoefu hilo linafanyika baada ya press conference....

kumbe hata press conference bado. basi inaniwia vigumu kuziamin taarifa zote zilizotolewa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…