Asee mbona unaandika upu.mbavu?Hizi ajira za kujuana ndizo zimeleta watu wasio fikiri na matokeo yake mmekosa mbinu za kiinteligensia kufanya kazi zenu.Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..
Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu
Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..
Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali
Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...
Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Inaonekana leo kiranja wao wa uongo anajisikia kuumwa kwa kusikia Lisu jana kaongea. Sasa hyu jamaa yeye ana jipostia maujinga ujinga anavyo jisikiaKuna haja ya kuangalia aina ya watu wa kuposti nyuzi za kimkakati..wengine wanaharibu
DuhTukusaidie vipi sasa while u have chosen stupidity as ur guide
Umemaliza kila kitu mkuu..Tukusaidie vipi sasa while u have chosen stupidity as ur guide
Rubbish.Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..
Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu
Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..
Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali
Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...
Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Kundi x ndio Kina nani? Au watu wasiojulikana?Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..
Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu
Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..
Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali
Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...
Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Libya walikuwa na maisha mazuri mpaka income support walikuwa wanapata sasa sisi lini tulikuwa na hayo maisha mpaka tuwe na wasiwasi? Hapa tulipo tangu aingie afadhali ya jana kama kulikuwa tunapata milo2 sasa hivi 1au siku nyingine unauita kavu. Sasa tukimtoa tuna hasara gani? Libya was wake kila hasaraTukumbuke ya libya jamani atutaki Tz tufike uko.binafsi navutiwa sana na arakati za chama pinzani katika kuikosoa serikali, japo serikali ya jpm inaonakana miongoni mwa wa Tz wengi inapinga vikali arakati za upinzani!tukio la TL kwa Watanzania walio wengi wanaweza kulihusisha na mambo ambayo serikali imekua ikiyafanya kwa upinzani juu ya yote ayo JPM ni raisi ambae mwenye msimamo mkali kwa masilahi ya taifa ambao unapelekea miongoni mwa watanzania wengi kumuona ni DIkteta lkn bila kumbuka juhud zake katika kupigania rasmali za watanzania kuliko viongozi wote wa Tz Waliopita hii uenda ikapelekea Mataifa ya ulaya kuchukizwa na harakati zake na kutafuta mbinu za kuaribu juhudi yake ambayo zingeweza kulibadilsha taifa la Tz swala la madini kama almasi Tanzanite,makinikia,ni swala zito sana ambalo mataifa ya ulaya ya yanajipatia faida kubwa kupitia sisi kwa nini mataifa ayo yasifanye chochote ili indelee kutula sisi WaTanzania !tafakari kabla ya kumnyoshea kidole mtu yoyote yule kwenye swala hili la Tundu lissu
Kwani leo umepanga kuanzisha thread ngapi za hivi Tumaini?