Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Toka lini katili akapewa tuzo ?...

Kama tu alishindwa kupata tuzo ya Forbes asahau kabisa mpaka anatoka madarakani..

Wazungu uwa hawana mchezo na mtu anayechezea democracy na Uhuru wa kujieleza...

Kwanza tuzo ya nini ? Ya kubadili uchumi wa watu kutoka milo miwili hadi mlo mmoja pengine hamna kabisa?..

Ule msemo "Mzungu = Mungu" umekuingia sana
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Hivi mnahudumia kwa pesa za Bunge?
Ilikua mkakataza watu wasimuomombee
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini

Msaliti ni wewe
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Lipi baya? Kutufungia ndani na kutupiga na kutuua na isijulikane kwa yeyote? Hata kupiga kelele mnazuia!! Acha wenye uhuru wao wajue na kutuumbua!! Eti unamtetea rais yupi tena!? Shaameeeeeeeeee
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Nikusaidie tu
1.Wachina awam hii hawapat mirad,walitegemea SGR kapewa mturuki,wataacha kumpamba.
Video ya Lissu kufika nje sio issue kwa sababu hata picha za HOSTEL ZA UDSM zimetufikia sisi kabla hata MUKANDALA NA TBA.
 
Dah!! Kweli mtaji wa ccm ni ignorance za watanzania, kipi cha maana alichofanya, au kubomolea makazi ya watu ndo sifa? Tena kwa kubagua, wasukuma wa mwanza wasibomolewe kwakuwa walimpigia kura ila wa Dar na Pwani ndo wabomolewe
 
Wewe ulioandika umelogwa au umekunywa damu ya paka ziba masikio yako nakidole ukisikia .kelele ujue unamatatizo na uniona kimya ujue ni mzima
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Aliyevuruga mfumo wa elimu nchini alifanya kosa kubwa sana!
 
Huenda ni mimi tu sijaelewa nini ulikusudia kufikisha ujumbe
 
Aliyevuruga mfumo wa elimu nchini alifanya kosa kubwa sana!
Kosa kivipi Mkuu? Wakati mission is accomplished?? Huoni inavyosaidia kuendesha mambo kwa jinsi wanavyotaka?
 
Kuna kitu braza mi nimekielewa sema wabongo hawaruhusu kutazama kulia ikiwa wameelekezwa kushoto
 
Haya sasa pamoja na majungu ya chadema mkuu amelamba tuzo ya Mandela na bado nyingi zinafuwata.
 
Back
Top Bottom