Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Labda wamekufa kwa hofu.Majenerali wanaenda vitani ? Hii ni akili au matope
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Unataka kuueleza umma kwamba mkuu anakula ndumu?Ni siri nzito ambayo hata Putin haijui ila wewe unaijua!
watu mentality kama yako ndiyo wapiga filimbi wa putin.Majenerali wanaenda vitani ? Hii ni akili au matope
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Soma komenti za wadau!! Umeandika pointi au ngonjera na mashairi ya darasa la 3?Kila mtu anaongea kitu chake ila ipo siri kubwa sana ambayo wanausalama wanaijuwa nawamepiga kimya japo jana Mzee baba Ameamua kujilipua. "For the God Sake Putin cannot remain in Power...
wanakaa huko na wake zao sio, wamekufaje sasa! ukweli ni kwamba nguvu ya kijeshi ya Russia ni overatedMajenerali wanaenda vitani ? Hii ni akili au matope
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ripoti ni ya kutoka Ukraine kwenyewe au Ile ya buzaπKila mtu anaongea kitu chake ila ipo siri kubwa sana ambayo wanausalama wanaijuwa nawamepiga kimya japo jana Mzee baba Ameamua kujilipua. "For the God Sake Putin cannot remain in Power...
Haya CIA uchwara mna Akili Sana kuliko wanausalama wa urusi.Kila mtu anaongea kitu chake ila ipo siri kubwa sana ambayo wanausalama wanaijuwa nawamepiga kimya japo jana Mzee baba Ameamua kujilipua. "For the God Sake Putin cannot remain in Power...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umetupa za ndanindani kabisa mkuu,wewe lazima utakua CIA,kama sio CIA wa Tandale basi wa Buguruni malapa.
Beberu Nato ataishi kuwaonea akina Libya,Iraq, Afghanistan ,ila SII Mrusi na washirika wake.πππππ"For God sake Putin can not remain in Power" Joe Biden
Tena wa damu a.k.a dysenteryUharo mtupu