myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Nimemjibu..Pengine haya maneno yanakuumiza sana lakini wacha nikuambie bwana mdogo...yanayofanywa na Urusi au Putin si kitu kinachoweza kufanywa na kila MTU ila tu unabii utimie
Akikujibu nistue maana watoto wengi humu na wengi hawajui unapoizungumzia Soviet Union unaizungumzia Russia