Tetesi za siri tusizozijua vita ya Russia vs Ukraine

Tetesi za siri tusizozijua vita ya Russia vs Ukraine

Putin anapigwa ile waswahili wanaitwa bwege mtozeni, unachoma mafuta na kuharibu hela with zero output ukijakufika mwisho stress zinakumaliza..

Hii Vita Russia kaachwa achome hela maana uchumi wake watu wanaujua na ameshapigiwa hesabu na kifuatacho ni kupigana vita isiyo na matokeo miaka mingi na mwisho wa siku atashindwa hata kulipa mishahara sio tu jeshini bali hata huko uraiani..

Ulaya ndio mteja mkubwa duniani wa kila biashara ya Russia...
Rubbish
 
Kila mtu anaongea kitu chake ila ipo siri kubwa sana ambayo wanausalama wanaijuwa nawamepiga kimya japo jana Mzee baba Ameamua kujilipua. "For the God Sake Putin cannot remain in Power"

Nini dunia haikijuwi na nini dunia ya majasusi wanakijuwa ambacho ni siri nzito.
Kwa wale hamjuwi basi sio mbaya kujuwa. Baba wa ujasusi akisaidiana na jamaa yake pale Israel na akina Mi6 wamefanya jambo lao la siri mahali na wenzao wamelinyaka japo ndio too laite to catch them.

Haya majamaa yalishaijuwa ambition ya kijana Putin hata kabla hajajuwa wanajuwa agenda zake. Wakagonga naye cheasi ila behind the secret bar wanamujitaji nayupo on top red list yao wakamuacha ajitanue nakujiona mjanja ila wakijuwa mwisho wake upo wakati asio ujuwa.

Idara za siri za Russia wanajuwa kila kitu kinaendelea na ndio maana uwenda mzee baba wakati fulani mkuu wake wa ujasusi alimshauri waendelee na mazungumzo japo ndio hivyo tena jamaa akam dich.

Rais wa Marekani alichokiongea anajuwa ameongea nini uwenda ametoa siri yakike kinaendelea ndani ya Kremlin. Kama hujuwi basi ngoja nikujuze. Kiufupi mpaka sasa mzee baba anahisi ndani ya kremlin kuna watu wametengeneza conspiracy. Yani ameenda vitani akiamini kwa wk moja watakamata Ukraine ila kumbe sio kweli. Waliambiwa wakifika watapokelewa kwa bashasha na nderemo ila picha imekuwa ndivyo sivyo. Budget alio pewa na kile kinaendelea ni magharibi na mashariki yani gharama imepaa sana kiasi jamaa wanabadilisha plan ya mapigano.

Mbaya kuliko yote Mpaka sasa Russian wamepoteza wanajeshi maelfu wakiwemo magenaral kadhaa. Mbaya zaidi inasemekana taarifa za siri zinasema Ukraine imewaachia jamaa waingie kisha wamewazunguka mbele na nyuma.
Majeshi ya Urusi yamewekwa mtu kati.

Taarifa mbaya ni tukio lakutisha la mkuu wa majeshi kupata heart attack. Hii bado nisiri kubwa imezunguka ikulu ya Kremlin. Tetesi hizi zina mchanganya sana Putin maana anahisi kunajambo linaendelea pale Kremlin.

Majasusi ya nchi za magaribi wanaujuwa mwisho wa Putin ns wanajuwa lini uchumi wa Putin utakuwa juu ya mawe.. jambo wanaona hawaitaji kwenda vitani na mtu alie amua kujichanganya.

Russian wanamtaka USA ila USA wamekuwa smart kuusoma mchezo nakumuacha Putin asijuwe lakufanya.
Kumalizia kile kitamkuta Putin ni kile kilimkuta Adolf Hitler. Yani atalipa trion of fines kuijenga Ukraine na atalipa mafidia ambayo hakuyategemea ile ndoto yakuwa super power itapotea. China anausoma mchezo na anaona sasa kumbe kuwa na nuclear sio kuwa super power ila nikulala na sumu kali ndani ya chumba.

Vita hii inaenda kubadilisha mambo mengi na huenda tawala nyingi za kiimla zitakuwa ktk wakati mgumu sana.
"For God sake Putin can not remain in Power" Joe Biden
Nimekuelewa marekani sio tawala ya kiimla.
 
Ukraine ipo kwenye breaking point mkuu, usiwe na shaka, halafu Ukraine ndio imezungukwa sio askari wa Russia.

Ukraine ilichofanya kikubwa ni kusogeza siku kadhaa ili wajipange namna ya kutoroka, Zelensky mwenyewe amesema Kiev ikizungukwa atauawa.

Ukraine ipo kwenye hatua za mwisho kabisa.

Halafu Hitler alipigwa na Russia fahamu hilo, mtu wa kwanza kuingia Berlin ni Russia.
 
Kila mtu anaongea kitu chake ila ipo siri kubwa sana ambayo wanausalama wanaijuwa nawamepiga kimya japo jana Mzee baba Ameamua kujilipua. "For the God Sake Putin cannot remain in Power"

Nini dunia haikijuwi na nini dunia ya majasusi wanakijuwa ambacho ni siri nzito.
Kwa wale hamjuwi basi sio mbaya kujuwa. Baba wa ujasusi akisaidiana na jamaa yake pale Israel na akina Mi6 wamefanya jambo lao la siri mahali na wenzao wamelinyaka japo ndio too laite to catch them.

Haya majamaa yalishaijuwa ambition ya kijana Putin hata kabla hajajuwa wanajuwa agenda zake. Wakagonga naye cheasi ila behind the secret bar wanamujitaji nayupo on top red list yao wakamuacha ajitanue nakujiona mjanja ila wakijuwa mwisho wake upo wakati asio ujuwa.

Idara za siri za Russia wanajuwa kila kitu kinaendelea na ndio maana uwenda mzee baba wakati fulani mkuu wake wa ujasusi alimshauri waendelee na mazungumzo japo ndio hivyo tena jamaa akam dich.

Rais wa Marekani alichokiongea anajuwa ameongea nini uwenda ametoa siri yakike kinaendelea ndani ya Kremlin. Kama hujuwi basi ngoja nikujuze. Kiufupi mpaka sasa mzee baba anahisi ndani ya kremlin kuna watu wametengeneza conspiracy. Yani ameenda vitani akiamini kwa wk moja watakamata Ukraine ila kumbe sio kweli. Waliambiwa wakifika watapokelewa kwa bashasha na nderemo ila picha imekuwa ndivyo sivyo. Budget alio pewa na kile kinaendelea ni magharibi na mashariki yani gharama imepaa sana kiasi jamaa wanabadilisha plan ya mapigano.

Mbaya kuliko yote Mpaka sasa Russian wamepoteza wanajeshi maelfu wakiwemo magenaral kadhaa. Mbaya zaidi inasemekana taarifa za siri zinasema Ukraine imewaachia jamaa waingie kisha wamewazunguka mbele na nyuma.
Majeshi ya Urusi yamewekwa mtu kati.

Taarifa mbaya ni tukio lakutisha la mkuu wa majeshi kupata heart attack. Hii bado nisiri kubwa imezunguka ikulu ya Kremlin. Tetesi hizi zina mchanganya sana Putin maana anahisi kunajambo linaendelea pale Kremlin.

Majasusi ya nchi za magaribi wanaujuwa mwisho wa Putin ns wanajuwa lini uchumi wa Putin utakuwa juu ya mawe.. jambo wanaona hawaitaji kwenda vitani na mtu alie amua kujichanganya.

Russian wanamtaka USA ila USA wamekuwa smart kuusoma mchezo nakumuacha Putin asijuwe lakufanya.
Kumalizia kile kitamkuta Putin ni kile kilimkuta Adolf Hitler. Yani atalipa trion of fines kuijenga Ukraine na atalipa mafidia ambayo hakuyategemea ile ndoto yakuwa super power itapotea. China anausoma mchezo na anaona sasa kumbe kuwa na nuclear sio kuwa super power ila nikulala na sumu kali ndani ya chumba.

Vita hii inaenda kubadilisha mambo mengi na huenda tawala nyingi za kiimla zitakuwa ktk wakati mgumu sana.
"For God sake Putin can not remain in Power" Joe Biden
Jingine mzee baba sura yake inabadilika, ni dalili ni mgonjwa. Wanahisi anatumia aina flani ya dawa zinazomfanya kuna siku uso umejaa kuna siku umepungua.Hata maamuzi yake ni ya kutatanisha.Putin sio yule...
 
Ukraine ipo kwenye breaking point mkuu, usiwe na shaka, halafu Ukraine ndio imezungukwa sio askari wa Russia.

Ukraine ilichofanya kikubwa ni kusogeza siku kadhaa ili wajipange namna ya kutoroka, Zelensky mwenyewe amesema Kiev ikizungukwa atauawa.

Ukraine ipo kwenye hatua za mwisho kabisa.

Halafu Hitler alipigwa na Russia fahamu hilo, mtu wa kwanza kuingia Berlin ni Russia.
Ni Soviet Union...ya Joseph Stalin. Sio Russia ya Putin ..
 
Hio kauli ya Biden ikulu ya marekani imesema haikuandikwa kama jinsi Biden alivyosema.

Naona US wanajitetea😂😂😂, ni kauli inayoonyesha wanapanga njama za kumuua au kuivamia Russia.

White House imekana.
 
Jingine mzee baba sura yake inabadilika, ni dalili ni mgonjwa. Wanahisi anatumia aina flani ya dawa zinazomfanya kuna siku uso umejaa kuna siku umepungua.Hata maamuzi yake ni ya kutatanisha.Putin sio yule...
Kati ya Putin na Biden nani ana afya mgogoro.
 
Kila mtu anaongea kitu chake ila ipo siri kubwa sana ambayo wanausalama wanaijuwa nawamepiga kimya japo jana Mzee baba Ameamua kujilipua. "For the God Sake Putin cannot remain in Power"

Nini dunia haikijuwi na nini dunia ya majasusi wanakijuwa ambacho ni siri nzito.
Kwa wale hamjuwi basi sio mbaya kujuwa. Baba wa ujasusi akisaidiana na jamaa yake pale Israel na akina Mi6 wamefanya jambo lao la siri mahali na wenzao wamelinyaka japo ndio too laite to catch them.

Haya majamaa yalishaijuwa ambition ya kijana Putin hata kabla hajajuwa wanajuwa agenda zake. Wakagonga naye cheasi ila behind the secret bar wanamujitaji nayupo on top red list yao wakamuacha ajitanue nakujiona mjanja ila wakijuwa mwisho wake upo wakati asio ujuwa.

Idara za siri za Russia wanajuwa kila kitu kinaendelea na ndio maana uwenda mzee baba wakati fulani mkuu wake wa ujasusi alimshauri waendelee na mazungumzo japo ndio hivyo tena jamaa akam dich.

Rais wa Marekani alichokiongea anajuwa ameongea nini uwenda ametoa siri yakike kinaendelea ndani ya Kremlin. Kama hujuwi basi ngoja nikujuze. Kiufupi mpaka sasa mzee baba anahisi ndani ya kremlin kuna watu wametengeneza conspiracy. Yani ameenda vitani akiamini kwa wk moja watakamata Ukraine ila kumbe sio kweli. Waliambiwa wakifika watapokelewa kwa bashasha na nderemo ila picha imekuwa ndivyo sivyo. Budget alio pewa na kile kinaendelea ni magharibi na mashariki yani gharama imepaa sana kiasi jamaa wanabadilisha plan ya mapigano.

Mbaya kuliko yote Mpaka sasa Russian wamepoteza wanajeshi maelfu wakiwemo magenaral kadhaa. Mbaya zaidi inasemekana taarifa za siri zinasema Ukraine imewaachia jamaa waingie kisha wamewazunguka mbele na nyuma.
Majeshi ya Urusi yamewekwa mtu kati.

Taarifa mbaya ni tukio lakutisha la mkuu wa majeshi kupata heart attack. Hii bado nisiri kubwa imezunguka ikulu ya Kremlin. Tetesi hizi zina mchanganya sana Putin maana anahisi kunajambo linaendelea pale Kremlin.

Majasusi ya nchi za magaribi wanaujuwa mwisho wa Putin ns wanajuwa lini uchumi wa Putin utakuwa juu ya mawe.. jambo wanaona hawaitaji kwenda vitani na mtu alie amua kujichanganya.

Russian wanamtaka USA ila USA wamekuwa smart kuusoma mchezo nakumuacha Putin asijuwe lakufanya.
Kumalizia kile kitamkuta Putin ni kile kilimkuta Adolf Hitler. Yani atalipa trion of fines kuijenga Ukraine na atalipa mafidia ambayo hakuyategemea ile ndoto yakuwa super power itapotea. China anausoma mchezo na anaona sasa kumbe kuwa na nuclear sio kuwa super power ila nikulala na sumu kali ndani ya chumba.

Vita hii inaenda kubadilisha mambo mengi na huenda tawala nyingi za kiimla zitakuwa ktk wakati mgumu sana.
"For God sake Putin can not remain in Power" Joe Biden
Uzi umekaa kiudaku udaku mi magaazeti ya udaku sisome siyapendi ,eti Siri tusioijua sasa utaandika nini Kama ni Siri usioijua
 
Kila mtu anaongea kitu chake ila ipo siri kubwa sana ambayo wanausalama wanaijuwa nawamepiga kimya japo jana Mzee baba Ameamua kujilipua. "For the God Sake Putin cannot remain in Power"

Nini dunia haikijuwi na nini dunia ya majasusi wanakijuwa ambacho ni siri nzito.
Kwa wale hamjuwi basi sio mbaya kujuwa. Baba wa ujasusi akisaidiana na jamaa yake pale Israel na akina Mi6 wamefanya jambo lao la siri mahali na wenzao wamelinyaka japo ndio too laite to catch them.

Haya majamaa yalishaijuwa ambition ya kijana Putin hata kabla hajajuwa wanajuwa agenda zake. Wakagonga naye cheasi ila behind the secret bar wanamujitaji nayupo on top red list yao wakamuacha ajitanue nakujiona mjanja ila wakijuwa mwisho wake upo wakati asio ujuwa.

Idara za siri za Russia wanajuwa kila kitu kinaendelea na ndio maana uwenda mzee baba wakati fulani mkuu wake wa ujasusi alimshauri waendelee na mazungumzo japo ndio hivyo tena jamaa akam dich.

Rais wa Marekani alichokiongea anajuwa ameongea nini uwenda ametoa siri yakike kinaendelea ndani ya Kremlin. Kama hujuwi basi ngoja nikujuze. Kiufupi mpaka sasa mzee baba anahisi ndani ya kremlin kuna watu wametengeneza conspiracy. Yani ameenda vitani akiamini kwa wk moja watakamata Ukraine ila kumbe sio kweli. Waliambiwa wakifika watapokelewa kwa bashasha na nderemo ila picha imekuwa ndivyo sivyo. Budget alio pewa na kile kinaendelea ni magharibi na mashariki yani gharama imepaa sana kiasi jamaa wanabadilisha plan ya mapigano.

Mbaya kuliko yote Mpaka sasa Russian wamepoteza wanajeshi maelfu wakiwemo magenaral kadhaa. Mbaya zaidi inasemekana taarifa za siri zinasema Ukraine imewaachia jamaa waingie kisha wamewazunguka mbele na nyuma.
Majeshi ya Urusi yamewekwa mtu kati.

Taarifa mbaya ni tukio lakutisha la mkuu wa majeshi kupata heart attack. Hii bado nisiri kubwa imezunguka ikulu ya Kremlin. Tetesi hizi zina mchanganya sana Putin maana anahisi kunajambo linaendelea pale Kremlin.

Majasusi ya nchi za magaribi wanaujuwa mwisho wa Putin ns wanajuwa lini uchumi wa Putin utakuwa juu ya mawe.. jambo wanaona hawaitaji kwenda vitani na mtu alie amua kujichanganya.

Russian wanamtaka USA ila USA wamekuwa smart kuusoma mchezo nakumuacha Putin asijuwe lakufanya.
Kumalizia kile kitamkuta Putin ni kile kilimkuta Adolf Hitler. Yani atalipa trion of fines kuijenga Ukraine na atalipa mafidia ambayo hakuyategemea ile ndoto yakuwa super power itapotea. China anausoma mchezo na anaona sasa kumbe kuwa na nuclear sio kuwa super power ila nikulala na sumu kali ndani ya chumba.

Vita hii inaenda kubadilisha mambo mengi na huenda tawala nyingi za kiimla zitakuwa ktk wakati mgumu sana.
"For God sake Putin can not remain in Power" Joe Biden
Zama za nyuklia zimeshapitwa ni za miaka ya 90 huko ,kwa sasa marekani,ameacha kutengeneza nyuklia ,sasa hivi yuko kwenye lazer bombs ambayo pia yanatumika kama ant-nyuklia bombs ,mabomu haya yalifanyiwa utafiti kwenye miaka ya1986 ,chini ya kitengo cha siri sana ikijumuisha wanasayansi mahiri,mwaka2001 ,project hii ilionyesha mafanikio makubwa sana ,bomu hili lina uwezo x100 ya bomu la nyuklia ,uwezo wa juu wa maangamiz ni km1200 ,lina miale mikali sana yenye nyuzi joto 40,000centgred , hapo linayeyusha kila chuma,na miti,mawe ,gharama ya Bomu moja ni dola billion 40,yaani ni trillion 80 za madafu,pia yako madogo ambayo yana uwezo wa kuangamiza kifaa chochote cha chuma kikawa uji.uboreshaji mkubwa ulifanyika mwaka 2014 ,ambapo yana uwezo wa kutoonekana na rada wala kifaa chochote,marekani siyo poah baba ule mziki mwingine budget ya jeshi mwaka huu ni trillion 1400 za madafu ,shabikia ukiwa na point
 
Pengine haya maneno yanakuumiza sana lakini wacha nikuambie bwana mdogo...yanayofanywa na Urusi au Putin si kitu kinachoweza kufanywa na kila MTU ila tu unabii utimie
Kwa nini Russia wanasheherekea ushindi wa vita kuu ya pili dunia mpaka leo? Na si Ukraine wala Czech Republic n.k, hebu nijibu.
Akikujibu nistue maana watoto wengi humu na wengi hawajui unapoizungumzia Soviet Union unaizungumzia Russia
 
Back
Top Bottom