Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Asante kwa wake up call,
ngoja tufaye fumigation kuua mchwa
ngoja tufaye fumigation kuua mchwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sasa hivi kwanza Tanzania inaman power,economic advantage ukilinganisha na RwandaZamani sio kwa sasa.
🙏🙏Shukran kwa taarifa.
Kwa uelewa wangu ngara imepakana na Burundi 😊Kama kweli kagame anajiamini kesho aamke anatangaza kwamba NGARA ni sehemu ya RWANDA aone kitafuata nini
Wewe Bibi pedi imejaa hiyo kabadilishe!Mawakala wa shetani tunawafahamu miandiko yenu, mna hamu tu ya kumtukana mama na Uislam.
Rwanda itapigana na DRC tukama
Mwabie huyo banyamulenge wako sasa kesho atangaze kijiji kimoja cha Tanzania kilicho mpakani ni mali ya Rwanda ndo tujue anao uwezo, kama siku hiyo hiyo Rwanda haijatangazwa kuwa mkoa wa Tanzania.Zamani sio kwa sasa.
Dah.. aisee..Warwanda akili kubwa.
Wapo kwenye vyeo vya juu police, TPDF, TISS n.k
Mmoja kashitukiwa akiwa lieutenant colonel kalala mbele.
Vyombo vya ulinzi na usalama Bongo vinatukuzwa sana ila deeply hamna kitu
Amna kitu bana,mikwala mbuzi tu.Mwabie huyo banyamulenge wako sasa kesho atangaze kijiji kimoja cha Tanzania kilicho mpakani ni mali ya Rwanda ndo tujue anao uwezo, kama siku hiyo hiyo Rwanda haijatangazwa kuwa mkoa wa Tanzania.
Usimfananishe Putin na vitu vya kijinga.Kagame ni Putin mtupu kama kuna anaebisha apeleke jeshi pale akaone mbungi atakayokutana nayo.
NAto wamesanda kwa Putin kama SADC walivyosanda kwa PK.Usimfananishe Putin na vitu vya kijinga.
Huu upupu ndio akili yako ilikoishia?Kwanza naomba mapovu yanaruhusiwa na hoja zina ruhusiwa ila mniache nabii nitoe yale nayaona...
Mziki ulianza Mozambique 🇲🇿 na sasa Congo DRC 🇨🇩 wanaucheza yes the dark days in Tanzania overseas intelligence....
Upo utani unasema nyani akimuona mwanamke basi kazi anayo ila akimuona mtoto wakiume hata kama ni mdogo basi nyani humkimbia yes twende na mimi....
Tanzania kwa miaka yote ni baba wa siasa za Africa 🌍 😑 ♥️ shime Mwalimu Nyerere tunakukumbuka Baba. Tanzania tumejaliwa na Taifa letu ninyumbani kwa wapigania uhuru wa Africa. Kete hii imetufanya kuwa na nguvu hata yakuweka watawala ktk nchi za Africa na huu uwezo umetuvimbisha bichwa haswaaa ila kwa wale mnasoma thread zangu mtakubaliana na mimi nimekuwa nikilia na idara zetu na kwenendo wa siasa zetu nakuona tunako enda basi kazi itakuwa ngumu.
Nakumbuka kuzitaadharisha idara za Taifa yakuwa mchwa ako kwa nyumba na paa likianguka amesha tafuna nyumba.
M23 wapo vitani na hii vita sio rahisi itakuwa ngumu kwa sababu ya conspiracy. Kagame kwa vyovyote huu ndio muda wake kumalizana na Tz wala sio nini wala nini hayati mch Mtikila aliwahi tuambia wakamalizana naye mapema kwa sasa sio siri Rwanda wanatujuwa vema Tz hata tujificheje wanajuwa siri zetu na huu ndio muda wakumalizana na sisi. Kuanguka kwa serikali ya Congo DRC nikishindo cha maumivu kwa serikali ya Tz. Natusibishane hili laweza tokea labda kama maamuzi magumu yatatokea yaani nyani aone mwanaume atarudi nyuma. Tangu Nyerere mpaka JK Rwanda hajapoa...
Rwanda anawaona Wabantu ndio kitisho cha kesho ya Tutsi na Tz ndio mlezi... SA ndio walewale na alie namba mbili ni uzao wa SA japo kazaliwa Tz ila history inasema wangoni ni wa SA unaweza kuona why Kagame hawez lala.
Pili Kagame ndio chairman EAC je unategemea nini kwa mfano?
Zimekufurahisha eeh!?Shukran kwa taarifa.
South Africa ana hata na nuclear bomb. Ni nuclear power country!Kagame anafanya kuwaaminisha wanyarwanda kwamba Rwanda chini ya uongozi wake imekuwa na nguvu kubwa kijeshi kiasi cha kukabiliana na nchi zote za SADC, kaenda mbali zaidi hadi kuanza kuitunishia misuli South Africa.
Hii inampa mileage kisiasa na kuheshimika na kuogopwa, Jamaa anapenda kusujudiwa na anapenda kuogopwa, sasa ameona nchini kwake wananchi wanamlamba viatu kaona hapatoshi, ameanza kuleta udikteta wake kwa jirani zake.
Anapotoa kauli kama hizo kwamba yupo tayari kukabiliana na South Africa, wananchi wake nao wanakaa kwenye vijiwe wakiona Rwanda inaweza pambana na nchi yeyote Africa.
SANDF wana uwezo kupigana na Rwanda 10.
Nchi yenye military industrial complex kama SA si mchezo.
Japan alipoishambulia Pearl Harbor aliua askari 2300 wa USA, akajiona mwamba, kitendo kilichofanywa na US hadi leo imekuwa ni somo mashuleni wanafunzi wanasoma na kujibu mitihani.
NAto wamesanda kwa Putin kama SADC walivyosanda kwa PK.
Rwanda kuipiga na nuclear ni kuionea.South Africa ana hata na nuclear bomb. Ni nuclear power country!
Iron dome ipo kigali tu boss wangu 😂Kumbe hata Rwanda yenyewe huijui nguvu yake kijeshi. Wenzako wana iron dome, mtapigaje huto tubomu tuwili?