Tetesi: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

Jonathan sowah ni mali ya singida black stars tofauti na ulivyoripoti kwamba kagoma kusaing singida.
 
Hakuna sajili kwa kurwa na doto wa kariakoo kwenye hili dirisha dogo? Wapi Hichilema?
 
simba wanahitaji kusajili wafuatao
1.joti kwa ajili ya kuwachekesha wachezaji.
2.wema sepetu aje kuwapa utamu wachezaji.
3.diamond aje kuwafundisha kucheza komasava
4.kingwendu awe kocha msaidizi.
Ukiwa mshabiki wa YANGA Kindaki kindaki lazima uwe na faili Milembe Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…