- Thread starter
- #361
Mhhh!
Mawazo ya mdau yameniacha mdomo waziNini tena Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya mdau yameniacha mdomo waziNini tena Mkuu
Ni nani huyo na anatokea wapi?Hassan Ssenyonjo to Young Africans
Kiungo mkabaji anatokea Uganda.Ni nani huyo na anatokea wapi?
Kiungo wa UgandaNi nani huyo na anatokea wapi?
Mtasingwa huyu anakipiga timu gani?Yanga wakimsaini yule dogo Mtasingwa, nitawakubali sana. Dogo ana kitu adimu sana kwenye eneo la kiungo mkabaji.
Ni kijana wa Kitanzania aliyekuzwa na kulelewa na Azam. Baadaye akaenda kucheza Ulaya ya mbali huko.Mtasingwa huyu anakipiga timu gani?
Ni m bongo ama wanje?
Ok nishamkumbuka huyo dogo, bila shaka alicheza ile game yetu ya fainal dhidi yao.Ni kijana wa Kitanzania aliyekuzwa na kulelewa na Azam. Baadaye akaenda kucheza Ulaya ya mbali huko.
Aliporudi, Azam wakampa mkataba kiduchu wa mwaka mmoja! Na sasa amebakiza miezi isiyozidi 6 kwenye huo mkataba wake. Tetesi zinasema Yanga wanataka kumsajili.
Huyo dogo ni kimwekumweku hatari. 😀😃😄😁Ok nishamkumbuka huyo dogo, bila shaka alicheza ile game yetu ya fainal dhidi yao.
Nakumbuka alicheza pale kati yeye na Bin Zayd, hata kwenye upigaji wa pernati na yeye alifunga pernat mzuri tu.
Shukran mkuu.
Sahihi kabisa. Fundi sana huyo dogo.Ok nishamkumbuka huyo dogo, bila shaka alicheza ile game yetu ya fainal dhidi yao.
Nakumbuka alicheza pale kati yeye na Bin Zayd, hata kwenye upigaji wa pernati na yeye alifunga pernat mzuri tu.
Shukran mkuu.
Misumari ya Shabalala inamsubiri..Rasmi sasa, beki wa Kushoto Valentin Nouma amejiunga Simba Sc
Huyu asipokuwa makini baada ya msimu mmoja atatemwa.Rasmi sasa, beki wa Kushoto Valentin Nouma amejiunga Simba Sc
Naomba nikuulize mkuu...singida blck star inamilikiwa na nani?Rasmi sasa, beki wa Kushoto Valentin Nouma amejiunga Simba Sc
Kama kasurvive DRC, jamaa si mwepesiMisumari ya Shabalala inamsubiri..
Namuombea..
Mhhh! Ndugu yangu, nadhani kigogo wa serikali mwenye dhamana na hela zetuNaomba nikuulize mkuu...singida blck star inamilikiwa na nani?
Itategemea na mfumo wa kocha na mambo mengineHuyu asipokuwa makini baada ya msimu mmoja atatemwa.
Upande wa Hussein ni mgumu kushindania namba maana jamaa haumii na anaweza cheza mechi zote za msimu kwa kiwango karibu kilekile.
Pia inasadikika kiasili hajambo ila sina uhakika.
Kwa hiyo Duchu kuna uwezekano wa kutolewa kwa mkopo tena?.Itategemea na mfumo wa kocha na mambo mengine