Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Sijui kwanini siku hizi marasta siwaamini kunako sokaJean Charles Ahoua, MVP wa Ivory Coast ni rasmi Sasa ni mnyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini siku hizi marasta siwaamini kunako sokaJean Charles Ahoua, MVP wa Ivory Coast ni rasmi Sasa ni mnyama
Alikwambia mke wake anaumwa? Matatizo yanaisha baada ya muda gani?Mke wake kashapona, makolo bhana View attachment 3030584
It's OFFIdumba Fasika to Simba?
Simba ina mkurugenzi wa Ufundi ??? au Riasi wa heshima ndio mkurugenzi wa UfundiMpira wa kisiasa umetoka Kwa kusajili wachezaji wa kocha. Timu zinajenga falsafa zake na kuwa na wakurugenzi wa ufundi. Wachezaji wanasajiliwa kulingana na falsafa za timu.
yes juma mgundaSimba ina mkurugenzi wa Ufundi ??? au Riasi wa heshima ndio mkurugenzi wa Ufundi
Kwa miaka 4 iliyopita Simba ilikuwa inafanya makosa makubwa kwenye usajili mkielezwa mlikuwa mnabisha
now angalieni msije mkaendelea kufanya makosa yaleyale
Huyo mpaka atie saini kwanza ndio itakuwa rasmi. Hata kamati ya usajili inajua hivyo. Hao wachezaji wa pande hizo wanakuwaga na ofa kibao nyuma ya pazia. Simba bado wana kumbu kumbu nzuri ya kilichowakuta kwa Morlaye Sylla miaka michache tu iliyopita.Jean Charles Ahoua, MVP wa Ivory Coast ni rasmi Sasa ni mnyama
Mgunda ni nani? Au Mtamzania hawezi kuwa Mkurugenzi wa ufundi? Miaka minne nyuma nani alikuwa Mkurugenzi wa ufundi?Simba ina mkurugenzi wa Ufundi ??? au Riasi wa heshima ndio mkurugenzi wa Ufundi
Kwa miaka 4 iliyopita Simba ilikuwa inafanya makosa makubwa kwenye usajili mkielezwa mlikuwa mnabisha
now angalieni msije mkaendelea kufanya makosa yaleyale
Una uhakika hajasaini?Huyo mpaka atie saini kwanza ndio itakuwa rasmi. Hata kamati ya usajili inajua hivyo. Hao wachezaji wa pande hizo wanakuwaga na ofa kibao nyuma ya pazia. Simba bado wana kumbu kumbu nzuri ya kilichowakuta kwa Morlaye Sylla miaka michache tu iliyopita.
Kitendo cha kushindwa kumsajili morlaye syilla kiliniuma mno kuliko hata usajili wa aziz ki kwenda uto.Huyo mpaka atie saini kwanza ndio itakuwa rasmi. Hata kamati ya usajili inajua hivyo. Hao wachezaji wa pande hizo wanakuwaga na ofa kibao nyuma ya pazia. Simba bado wana kumbu kumbu nzuri ya kilichowakuta kwa Morlaye Sylla miaka michache tu iliyopita.
Morlaye alishaamua kujiendea Ureno, hatukukaribia hata kumnasaKitendo cha kushindwa kumsajili morlaye syilla kiliniuma mno kuliko hata usajili wa aziz ki kwenda uto.
Sina hakika ndio maana nimesema mpaka atie saini au atangazwe kwanza. Wachezaji wa pande za huko ni mpaka asaini makaratasi na atangazwe kwanza tofauti na wachezaji wa pande zingine ukisikia tetesi tu unajua kuwa imeisha hiyo. Ila mkuu kama una taarifa za ndani kasha sinya basi sawa sikupingii ila kwangu mpaka atangazwe kwanza.Una uhakika hajasaini?
Ni JF member lakini hujui maana ya USHABIKI. Mpira sio kikoa cha msibaIla hizi timu zetu pendwa bana kipindi cha usajili huwa nachekaga sana,watu wanakuja na majina yakutishatisha tu mara Enrinco kizumba(maradona mtupu),Jean Mokoena,philiph Kelechi Obinah(changanya Neymar wawili) vurugu tupu,ligi ianze sasa utaskia huyu tumepigwa.
Sawa usajili bahati nasibu wadau mpunguze mbwembwe.
😁Sijui kwanini siku hizi marasta siwaamini kunako soka
Mkuu nimetania tu!Ni JF member lakini hujui maana ya USHABIKI. Mpira sio kikoa cha msiba
Mkuu nakuaminia sana. Ngoja tu mdogo mdogo tutafka tu. Naona mukwala in da house tayariWachezaji waliosajiliwa na Simba SC so far
1. Augustine Okejepha( namba 6)
2. Yusuphu Kagoma(namba 6)
3. Lameck Lawi ( beki wa kati)
4. Joshua Mutale (winga)
5. Elie Mpanzu (winga)
6. Steven Mukwala( striker)
7. Jean Charles Ahoua
Pamoja kakaMkuu nakuaminia sana. Ngoja tu mdogo mdogo tutafka tu. Naona mukwala in da house tayari
Hapo watatu tayari.. welcomedMkuu nakuaminia sana. Ngoja tu mdogo mdogo tutafka tu. Naona mukwala in da house tayari
Wawili tayari. Naona uko well informed.Wachezaji waliosajiliwa na Simba SC so far
1. Augustine Okejepha( namba 6)
2. Yusuphu Kagoma(namba 6)
3. Lameck Lawi ( beki wa kati)
4. Joshua Mutale (winga)
5. Elie Mpanzu (winga)
6. Steven Mukwala( striker)
7. Jean Charles Ahoua
😁😁,Wawili tayari. Naona uko well informed.