Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tuwe na akiba ya Maneno.
Hao hao Viongozi na Wachezaji unaobeza ndio Wanafanya Simba iwe Namba 6 kwa Ubora Afrika. Acha kufuata kelele za Wachambuzi wa Mchongo. Hiyo timu inayosemwa bora mbona imeishia Robo kama Simba. Jikubalini timu haina tatizo kubwa kama mnavyoaminishwa.

YANGA anaongoza Ligi kwa Mipango MICHAFU.
1. MECHI YA KAGERA, Yanga alifungwa Kagera akapokwa goli mwamuzi amefungiwa.

2. MECHI YA PRISON, Yanga alikuwa anaenda kupoteza. Ikatolewa RED CARD YA MCHONGO yanga akapata goli. Mwamuzi kapewa Onyo.

3. MECHI YA COASTAL UNION, Yanga alishapotea. Kitasa cha Kati LAMECK Lawi anapewa RED CARD YA KITUKO. Yanga anapata mseleleko. Red card imefutwa na mwamuzi ameonywa.
4. Ni mengi siwez ongea ujinga unaoendelea. Hali hii imeshusha hadhi/Ubora wa Ligi yetu Afrika sote tunajua.

Kwa uchache SIMBA siyo mbaya kihiiiiivo ndio maaana hata mechi ya Juzi ambayo Yanga ameshinda 2-1 unaweza kusema Arajiga 2 Simba 1.
So acheni umbwiga mjue. Simba is next level.
Mshaleta visingizio vya Yanga kuongoza ligi kwa kutoa bahasha,au siyo!?
Sajilini acheni kelele na taarabu.
 
Nadhani hoja kuu ni kanuni. Kama kanuni ni ya muhimu ugumu uko wapi kuifuata? Si TFF tu hata UEFA na FIFA kitu kinachofanyika Tanzania hakikubaliki. Naona msimu ujao itazuka tafrani kwa mtu mwingine kujitokeza kudhamini vilabu vingine jambo litakaloziibua mamlaka husika
Vipi msimamo wako juu ya Namungo, Coastal na Prisons zilikuwa zinatamba mbele ya Yanga kabla ya GSM kuwadhamini umeifuta au bado una msimamo huo? Maaana ulitaka tuangalie mechi za nyuma kabla ya udhamini wa GSM nimekupa na zimekataa hoja yako
 
Tunaongelea fact siyo hisia bro. Kanuni za FFP na FIFA zinaruhusu kinachofanyika? Kwa nini udhamini wa GSM kwa ligi kuu ulikoma ghafla baada ya Barbara kusimamia kucha? Ushindani upi unaoongelea ? Angalia mechi za Yanga vs Coastal , Prisons na Namungo kabla na baada ya udhamini afu niletee matokeo
Mkuu hivi unafuatilia mpira!?
Mbona timu ulizotaja msimu huu Yanga alipata tabu kupata matokeo?
Tena kama coastal Yanga anakuja kupata goli dakika za jioni ten goli moja.
Umefuatilia Mpira na Ihefu nusu fainali CRDB?
Umefuatilia game ya ihefu Mbarali ya 2-1 dhidi ya Yanga?
Je hapo upinzani haukuoneshwa??
Embu kuwa reasonable basi mkuu.
 
Tunaongelea fact siyo hisia bro. Kanuni za FFP na FIFA zinaruhusu kinachofanyika? Kwa nini udhamini wa GSM kwa ligi kuu ulikoma ghafla baada ya Barbara kusimamia kucha? Ushindani upi unaoongelea ? Angalia mechi za Yanga vs Coastal , Prisons na Namungo kabla na baada ya udhamini afu niletee matokeo
Tofauti na 5imba kuna timu imefungwa goli 7 na Yanga msimu huu? huko nako GSM kahusika?
 
Tunaongelea fact siyo hisia bro. Kanuni za FFP na FIFA zinaruhusu kinachofanyika? Kwa nini udhamini wa GSM kwa ligi kuu ulikoma ghafla baada ya Barbara kusimamia kucha? Ushindani upi unaoongelea ? Angalia mechi za Yanga vs Coastal , Prisons na Namungo kabla na baada ya udhamini afu niletee matokeo
GSM ameimiliki yanga tangu lini?
Yanga ni team ya wanachama
Wapo kwenye mchakato wa kubaini thamani ya club ndo wauze hisa.

GSM hana hisa Moja yanga
Yeye yupo yanga kutangaza biashara zake.
Mbona hulaumu sportpesa na mbet.
Au asas.
Hivi nyie mbumbumbu mlilogwa?
 
GSM ameimiliki yanga tangu lini?
Yanga ni team ya wanachama
Wapo kwenye mchakato wa kubaini thamani ya club ndo wauze hisa.

GSM hana hisa Moja yanga
Yeye yupo yanga kutangaza biashara zake.
Mbona hulaumu sportpesa na mbet.
Au asas.
Hivi nyie mbumbumbu mlilogwa?
Sportpesa ana wafanyakazi wake Yanga ? Sportpesa ni mmiliki wa time Gani? Unadhani timu unaingia tu na kuanza kuiendesha?
 
Vipi msimamo wako juu ya Namungo, Coastal na Prisons zilikuwa zinatamba mbele ya Yanga kabla ya GSM kuwadhamini umeifuta au bado una msimamo huo? Maaana ulitaka tuangalie mechi za nyuma kabla ya udhamini wa GSM nimekupa na zimekataa hoja yako
Matokeo si umeyaonesha? Au hujayaelewa?
 
Sportpesa ana wafanyakazi wake Yanga ? Sportpesa ni mmiliki wa time Gani? Unadhani timu unaingia tu na kuanza kuiendesha?
Kweli wewe ni mbumbumbu kabisa.
Kwaiyo GSM asijitangaze kisa wewe kapuku na ushabiki wako .
Kwaiyo kuwa mfanyakazi wa GSM ni gereza hawezi hata kuwa katibu wa kigango
 
Kweli wewe ni mbumbumbu kabisa.
Kwaiyo GSM asijitangaze kisa wewe kapuku na ushabiki wako .
Kwaiyo kuwa mfanyakazi wa GSM ni gereza hawezi hata kuwa katibu wa kigango
Dada inaonekana ni shabiki maandazi hujui kanuni za umiliki na udhamini wa vilabu vya mpira
 
Screenshot_20240524_210422.jpg
 
1. Inaelezwa kuwa kiungo wa Young Africans Aziz Ki ameongeza mkataba wa miaka miwili na timu hiyo
2. Klabu ya Azam na Young Africans zinamuwania beki kisiki wa Coastal Union Lameck Lawi
3. Kuna uwezekano winga wa Simba Sc, Aubin Kramo akapelekwa kwa mkopo Zesco United ya Zambia
4. Kiungo mchezeshaji raia wa Gambia, Foday Trawally anaweza kujiunga na Simba Sc kwa mkataba wa miaka 3
5. Beki wa kati wa Asec, Anthony Tra Bi Tra anahusishwa kujiunga na Simba Sc
6. Kiungo mkabaji wa Singida Black Stars anawindwa na Young Africans kuchukua nafasi ya Zawadi Mauya atakayetupiwa virago
7. Kiungo wa Raja AC, Abdelhay Forsy anatakiwa na Simba Sc kwa mkopo
8. Klabu ya Singida Black Stars imemsajili Mlinda lango wa Horoya AC ya Guinea, Mohamed Camara na inakaribia kumnasa beki wa kushoto Imoro Ibrahim
9. Young Africans SC inakaribia kuinasa Saini ya beki wa kushoto kutoka Asec, Frank Zouzou
10. Beki WA kati raia wa Mauritania, Lamin Ba anafatiliwa kwa karibu na Simba SC
11. Henock Inonga anakaribia kujiunga AS FAR ya Morocco kama mambo yatakwenda vizuri
12. Simba SC inaangalia uwezekano wa kumsajili beki wa RS Berkane, Issofou Dayo
13. Simba SC inamfukuzia kiungo mshambuliaji , Augustine Okejepha
14. Derick Fordojou ni mnyama
15. Rodgers Torach, anakaribia kujiunga na SC
16. Mohamed Damaro Camara anafatiliwa kwa ukaribu na Simba SC
17. Daniel Msengani anawaniwa na Simba SC
18. Victorien Adebayor amejiunga na Sungida Black Stars SC
19. Beno Kakolanya, anawindwa Young Africans kuziba nafasi ya Metacha Mnata
20. Striker wa mpira Jean Baleke, anatakiwa na Young Africans
21. Luis Jose Miquissone anatakiwa na APR ya Rwanda
22. Kiungo wa mpira kutoka Coastal union, Greyso Gelard anatakiwa na Young Africans
23. Young Africans wanawania Saini ya Duvan Elenga
24. Simba SC wanamuwinda Flory Yangao
25 Waziri wa raha , Skudu Makudubela bye bye Yanga
26. Simba Sc inamuwania Chance Leroy
27. Ayoub Lakred anahitajiwa na Wydad AC
28. Simba Sc inawania Saini ya striker Mzambia Rick Banda
29. Omar Nahji kuchukua mikoba ya Benchika Simba SC
30. Vilabu Vya Al Qadsia ya Kuwait na Pyramids FC ya Egypt zimeonesha nia ya kuhitaji Huduma ya Fabrice Ngoma wa Simba Sc
31. Golikipa Yona Amos anakaribia kujiunga Young Africans
32. Joshua Mutale anatakiwa kujiunga Simba SC
33. Kelvin Kapumbu anatakiwa Simba SC
34. Gnagna Barry na Mousa Camara wa Horoya AC wanawindwa na Simba Sc
35.Ousmane Drame wa Horoya AC anawindwa na Simba Sc
36. Saidio Kanout, Putin ataondoka Simba Sc
37. Mabululu anatakiwa Simba SC
38. Lameck Lawi anatakiwa Simba SC
38. Frolent Ibenge anaweza kujiunga SC
39. Chadrack Boka ni mwananchi
40. Basiala Agee anahitajiwa na Yanga
41. Aziz Andambwile anahitajika Simba SC kuchukua nafasi ya Abdallah Hamis
42. Keneth Ssemakula anawaniwa na Simba Sc na Azam FC
Mbona simba wachezaji ni wengi sana kwenye tetesi hii
 
Back
Top Bottom