Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hamkumkataa Caesar Manzoki siku ya ule uchaguzi wenu? Haya ndiyo matunda yake. Hivyo muwe wapole.Mwambie Mangungu aondoke hatumtaki
Vipi akiamua kuwadai nauli ya kumleta Manzoki kutoka China ili kuja kuwaghiribu nyinyi wanachama mbumbumbu! Mtamlipa?Duka lenu mangungo wa msovero na washirika wake lazima tuwafagilie mbali ndani ya simba. Hao ndiyo chanzo cha hivyo vipigo.
Mkuu , Sisi ni ndugu acheni kuchochea . Timu ikisambaratika kwasababu tu watu wachumia tumbo utafurahi?Vipi akiamua kuwadai nauli ya kumleta Manzoki kutoka China ili kuja kuwaghiribu nyinyi wanachama mbumbumbu! Mtamlipa?
Haya ni majaribu tu Comrade. Hata usiwe na hofu. Yatapita. Muda ni rafiko mzuri.Mkuu , Sisi ni ndugu acheni kuchochea . Timu ikisambaratika kwasababu tu watu wachumia tumbo utafurahi?
Mkuu , sikula hata punje Moja ya ubwabwa wa huyo tapeli . Kuhusu manzoki ndiyo Maana tunasema Mangungo ni tapeli hivyo lazima tumfyekelee mbali.Kwani wewe siku ya uchaguzi mkuu wa Simba hukuka ubwabwa au Manzoki hukumwona?
Hatoki muhula wake haujaishA.Mkuu , sikula hata punje Moja ya ubwabwa wa huyo tapeli . Kuhusu manzoki ndiyo Maana tunasema Mangungo ni tapeli hivyo lazima tumfyekelee mbali.
Jamaa aliwadharau sana. Aliwaletea Manzoki, mkaingia king.Mkuu , sikula hata punje Moja ya ubwabwa wa huyo tapeli . Kuhusu manzoki ndiyo Maana tunasema Mangungo ni tapeli hivyo lazima tumfyekelee mbali.
Ukihesabu wachezaji wanaotakiwa kusajiliwa simba wanajaza lori zima, ila pia nasikia Simba wanataka kusajili mashabiki wa Yanga wanaobweka na benchi la ufundi la Coastal union au KMC.Kwaiyo makolo wanataka kusajiri kikosi kizima.!
Uyo kiungo mkabaji anaewindwa na yanga hapo namba 6 ni nani.
Kinzumbi kauzwa RajaView attachment 3017542
Official, Musonda kasajili TP Mazembe.
Acha aende huyoKinzumbi kauzwa Raja
Baleke mzuri sana..Sijui kwanini wale matapeli walimuacha wakaenda kuwasajili wale magharasaJean Baleke back to Simba?
Benchika alimkataa.Baleke mzuri sana..Sijui kwanini wale matapeli walimuacha wakaenda kuwasajili wale magharasa
Mpole huyuhuyu wakuitwa George? Garasa kabisa lile.Mpole to Yanga?