princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Saizi umesikia huyo Ahau sijui Ahoua sifa zake π π π ila bongo nyieππππ nakumbuka usajiri wa Mbuyu Twite siku anawasiri wakamvalisha jezi mgongoni imeandikwa Rage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saizi umesikia huyo Ahau sijui Ahoua sifa zake π π π ila bongo nyieππππ nakumbuka usajiri wa Mbuyu Twite siku anawasiri wakamvalisha jezi mgongoni imeandikwa Rage
Chama huyo mkuu.Naona boss kakasirika.sana.naskia kuna mtu kaitwa dubai. Ni nani huyo mkuu ?![]()
Huyu ni Mangungu mwenyewe.Mwamba namwamini kwa sasa, tetesi zake ni kweli
Bahati nzuri maduka yenu yote tumeyafyeka kwenye timu yetu. Mwaka huu hamna chenu .Muda huu wa usajili ndio kauli zenu hizi, ligi ikianza munaanza kumtukana Mangungu.
Kumbe kulikua na maduka!sasa zile kelele za kumuondoa mangungu zilikua za nn?Bahati nzuri maduka yenu yote tumeyafyeka kwenye timu yetu. Mwaka huu hamna chenu .
Ni mwaka ambao kila tundu lililopo kwenye mwili wa Amfibia litakuwa likitoa milio ya fwiii! na pwiii!
Mpanzu ameshatoka dubai kuonana na tajiri yupo dar ni swala la mda tu atatambulishwaMpanzu bado ana mkataba na As vita
Kuna tarifa bado wana project nae..
Una uhakika atasinya kwetu mkuu?
ShukraniStill bado naamini ulichoandika awali.
Yule mzee wa mashine gun? Umenivunja mbavuDuh! Mkuu si uwe unaweka nyama kidogo. Hata niki Google Hamza si atakuja yule wa ubalozi?π
Ngumu Kwa Sasa, ila hakuna kisichowezekana chini ya juaVp feisal salum atasinya simba kweli?
Mpanzu ni mnyamaMpanzu bado ana mkataba na As vita
Kuna tarifa bado wana project nae..
Una uhakika atasinya kwetu mkuu?
Timu itakuwa na kasi sanaMpanzu ni mnyama
Ok mkuu hii ndio ipo sawa sasa. Naona safari hii Simba wamekuwa "serious" kiasi fulani ukilinganisha na miaka miwili/mitatu iliyopita ambapo Simba ilikuwa inajua tu kupointi vipaji ila ikifika kusajili wanaenda timu nyingine.Rasmi sasa Charles Ahoua ametambulishwa
mpiga vichwa kuna swali huku.Kumbe kulikua na maduka!sasa zile kelele za kumuondoa mangungu zilikua za nn?
Kuna mtu mmoja Simba ikimsainisha ...maua yako nitakupaKuna uwezekano mkubwa leo,ikichelewa sana kesho atatambulishwa kocha mkuu( Fadlu Davids) kutoka Afrika kusini pamoja na wasaidizi wake watatu. Ni rasmi Sasa Matola na Mgunda hawatakuwa wasaidizi wake.
Nan huyoKuna mtu mmoja Simba ikimsainisha ...maua yako nitakupa
Japo mtiririko wako uko sahii
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Nae ni miongoni mwa maduka yenu . Bahati nzuri tumeshamfahamu . Sasa hivi tuko nae jicho kwa jicho , hatua kwa hatua . Akijichanganya kutaka kutuhujumu bakora zinamhusu .Kumbe kulikua na maduka!sasa zile kelele za kumuondoa mangungu zilikua za nn?
Mwigulu na wakinga wanahelaKuna Ihefu na Singida black star..ππππ Nani anawapa hela hawa wajomba
Mkuu , nimeshalijibu.mpiga vichwa kuna swali huku.