Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Hivi wanavyosaliti timu hivyo, hua wanapewa shilingi ngapi ambazo hawapewi timu walizopo je ni milioni Labda 500, na kuendelea, mana najiuliza utaweza kwel kusaliti timu kisa labda milioni 20 ama 50
Milioni 20 sio ndogo
 
Awesu Awesu anatambulishwa Simba hivi karibuni.
Hongereni watuni zetu mbumbumbu Sasa mmpata mtu wa maana haswa
 
Hivi wanavyosaliti timu hivyo, hua wanapewa shilingi ngapi ambazo hawapewi timu walizopo je ni milioni Labda 500, na kuendelea, mana najiuliza utaweza kwel kusaliti timu kisa labda milioni 20 ama 50
Hicho ni kichaka cha mambumbumbi fc, baada ya kuchezea kichapo cha bao 5 kutoka kwa wananchi wenye hasira.
Hakuna cha mchezaji kuuza mechi wala nini!
Nakama yupo pelekeni ushahidi kwenye bodi ya ligi ili wote wafungiwe, yani huyo mchezaji na timu iliyo muhonga.
Kinyume na hapo hiyo ni hadaa kwa mashabiki mbumbumbu.
 
Hadi kafungua duka la vifaa vya michezo
JamiiForums1568655207.jpeg

Wewe ni mmoja wapo.
 
Naskia jana simba amekula 6- 2, ni kweli wazee?
 
Matokeo ya simba vipi huko, mechi ya kirafiki?
 
Back
Top Bottom