Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣🤣Acha tuendelee na cha asubuhi kutoka tigo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Acha tuendelee na cha asubuhi kutoka tigo...
👍👍Wacha kazi iendelee,
Uteuzi ni mzurii na hauna dosari
Tamu Sana offer zakeKwanini
Hapana mm nafikiri angemsogeza wilaya zingine ambazo zinachanga moto hasa hasa za kielimu kwa mabinti mfano Masasi, Nachingwea au hata Kibaha vijijin (W) ili alijaribu kuambukiza mabadiliko aliyo yafanya KisaraweHuyu binti angefaa abakizwe palepale tu sijui Rais amewaza nini
Niwapongeze wote mlioteuliwa
Mmetumwa KUFANYA kazi niwajuze TU msifurahie Sana PENYE UTEUZI utenguzi upo
Mtanguluzeni Mungu
Kubalini USHAURI
Heshimuni mliowakuta
Mjue Sana Mungu hapomlipo
Wakumbushe??😂😂😂😂😂
Hivi hiyo kesi iliisha vipi? Au ndungai hashikiki?😂😂😂😂😂
Hawajimbui kabisa aisee [emoji2]
Ukiangalia asilimia kubwa ya Mataga ni Watu wenye roho mbaya ya kwanini, sasa hivi wamemgeukia Raisi Samia Suluhu hadi wanahoji Uraisi wake.Hawajimbui kabisa aisee [emoji2]
Si jamaa alipozwa kwa uteuzi sijui yuko wapi sahivi....Hivi hiyo kesi iliisha vipi? Au ndungai hashikiki?
Mataga yanaweza kujinyonga kwa uchungu wa kutoswa[emoji38][emoji23]
ndio hapo Sasa yaani mtu alianzia CHADEMA hatimae kwenda CCM au kinyume chake huyo mtu ni msaka fursa tu kwani mamvi alikuja chadema 2015 kwa kua anaipenda chadema?Ila inauma nyie..mtu kama
YEHODAYA alikua front line vby mno kwenye kutoa info kwa msiba wa mwendazake..alafu ni msomi mzuri tu ..wanakuja chaguliwa wakina mchopanga sijui ! Khaa...
Mtu kama mkuu wa mkoa wa Mor hata sio mfia dini yule ni opportunist..lakini wameachwa wafia dini kibao!MKOME..ccm ina wenyewe...hebu imagine Mashinji kwa ufia chama upi?kina Nasari kwa mapenzi yapi na ccm!🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Hivi mbona hateui huko Zanzibar, si mwungano? Vipi hagusi Zanzibar? Aitwe Rais wa Tanzania Bara.Hapana mm nafikiri angemsogeza wilaya zingine ambazo zinachanga moto hasa hasa za kielimu kwa mabinti mfano Masasi, Nachingwea au hata Kibaha vijijin (W) ili alijaribu kuambukiza mabadiliko aliyo yafanya Kisarawe