Hata ng'ombe anayepelekwa machinjioni, huandaliwa njia ya kupita.Sidhani kama atatenda haki huko kweye ujaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ng'ombe anayepelekwa machinjioni, huandaliwa njia ya kupita.Sidhani kama atatenda haki huko kweye ujaji
Najua kiroho kinawauma ,hamkutaka apate teuzi ,mungu si athumani ,huyo ni jaji kwa sasa na majaji Serikali inawajali sana ,wewe endelea kusugua gagaSiku moja walionyesha mijinoti imekaribia kujaa chumba , eti wale waliokubali makosa na kuingia makubaliano ya kulipa!!pale kuna nini?waezipiga sana!!lakini kwenye ujaji , hakuna ubabe, ukimuonea mtu anakata rufaa, au ana kukataa!!!jamaa ni pigo sana kwake, ila kwa wapenda haki ni furaha!!
We nae...hebu mwache mama yetu.Bi Mkubwa ndiyo kazi pekee anaweza labda na kusafirisafiri -- ila kwenda kukagua miradi ya maendeleo anaona karaha. ^Ilikuwa Dkt Mwinyi ndiye awe Makamo wangu^ JPM
Weeee koma
Kichele ndio nani!?
We kenge umetuchokesha na maujinga yako!Una maana ileee safari ya kwa M7 na kwa Mr Freedom juzi, nyumba ya Jamaa wa Msoga na Benzi ya Mzee Ruksa vimekomba ^killer-key-2^ pale hazinani. Kumbe ndiyo maana waliharakisha sanaaa kumpandisha cheo Dkt Mpango ili atoke kule wafanye yao!??? Hii ni hatari na robo ^tar-two^¡¡¡ Nahisi kufikia mwisho wa mwaka Bi Mkubwa lazima atatembeza bakuli la michango huku mtaani, kama ndio mwendo huu.
Chato 1Bi Mkubwa ndiyo kazi pekee anaweza labda na kusafirisafiri -- ila kwenda kukagua miradi ya maendeleo anaona karaha. ^Ilikuwa Dkt Mwinyi ndiye awe Makamo wangu^ JPM
Kila bandiko lako ni kimkandia mama yetu tu... kakukosea nini?
Una taka aendelee na Sukuma gang kama Maganga alie kalia mafaili ya watu miaka mitano sasa? Yaani watu wako mahabusu hawajui wata toka lini kisa Dpp? Kweli?Mi nilisema mapema huyu mama siyo
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi[emoji23]Bora DPP Mganga ameondoka mpuuzi sn
Samahani sheria sijaisomea hapo kashuka cheo au kapandaRais Samia amefanya teuzi za Majaji wa Mahakama wa Rufani, Mahakama Kuu na Kumwongezea muda Jaji Mahakama ya Rufani.
Acheni ujinga Biswalo kaula ,nafasi ya DPP huteuliwa na Rais ,hivyo akizingua anafukuzwa tu kazi ,na si kupandishwa cheo ,hii mnayofanya ni propaganda mfu,Ni mchakato mrefu pia katiba inamlinda DPP. Hivyo mfano DPP angetofautiana na utashi wa mwendazake dawa ni kumpandisha cheo.
Pia rais ukiona huridhishwi na mwenendo wa DPP pia njia rahisi ni kumpandisha cheo.
Kwa nchi za Madola wadhifa huu wa DPP ni wenye nguvu sana kikatiba ktk nchi za Jumuiya za Madola / Commonwealth.
[emoji23][emoji23][emoji23]mala ngapi ndio nini. hivi kuandika ni issue kutoa hoja utaweza kweli
Kawatosa kabisa mawakili wa kujitegemeaSamia haaminiki, katika majaji nilitegemea angalau mawakili wa kujitegemea wateuliwe maana kuna walio wazuri sana. Kinyume hakuna hata mmoja. Huyu mama twendeni tu mtaona huko mbele
Ahahahaaaa [emoji16][emoji23][emoji1787]. Mfuasi wa Jiwe anapoteseka.Bi Mkubwa ndiyo kazi pekee anaweza labda na kusafirisafiri -- ila kwenda kukagua miradi ya maendeleo anaona karaha. ^Ilikuwa Dkt Mwinyi ndiye awe Makamo wangu^ JPM