TFF fuatilieni hii tuhuma kwa Yanga kuwahonga wachezaji wa prison

TFF fuatilieni hii tuhuma kwa Yanga kuwahonga wachezaji wa prison

man dunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
3,358
Reaction score
5,783
Akihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.

Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza ni huyo Asukile. Ikigundulika ni uongo basi Asukile achukuliwe hatua na kama ni ukweli maana yake ni upangaji matokeo na yanga itawapasa washushwe daraja maana wanaharibu soka letu kwa kutaka kuwekeza kwenye rushwa baadala ya uwanjani.

Mkiacha hii tuhuma bila uchunguzi basi hamfai kuwepo hapo ofisini.
 
Mbaazi isipozaa husingizia jua!

Kwahiyo pale wameshinda kwasababu ya "mteremko?"
 
Akihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.

Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza ni huyo Asukile. Ikigundulika ni uongo basi Asukile achukuliwe hatua na kama ni ukweli maana yake ni upangaji matokeo na yanga itawapasa washushwe daraja maana wanaharibu soka letu kwa kutaka kuwekeza kwenye rushwa baadala ya uwanjani.

Mkiacha hii tuhuma bila uchunguzi basi hamfai kuwepo hapo ofisini.
Unaweza kuweka hayo mahojiano.
Mana nlivyomsikia Asukile ni kwamba anauliza refa ni kipofu na kama ni kipofu uwanjani alikuwa anafanya nin?
 
Back
Top Bottom