Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luc alikuwa sahihi kuwafananisha washabiki wa Yanga na Nyani.Rage aliwaza mbali sana alipowaita hawa viumbe'mbumbumbu'
Hivi Simba ihonge kipa namba mbili wamwache kipa no moja, dogo alikuwa anatafuta attention ndio maana nyinyi wenyewe hamumwamini.Unakikumbuka kile chanzo cha habari cha kabwili alivyotaka kuhongwa na mikia,unajua ile kesi Yanga waliipeleka tff wakiwa na ushahidi wote lakini mpaka hii leo tff hawataki kuishughulikia
Rage tisa kumi yule kocha wenu aliyewaita "NYANI"Rage aliwaza mbali sana alipowaita hawa viumbe'mbumbumbu'
Bado ile ya Kabwili hawajaifanyia kazi. Tena ina ushahidi wa wazi zaidiAkihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.
Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza ni huyo Asukile. Ikigundulika ni uongo basi Asukile achukuliwe hatua na kama ni ukweli maana yake ni upangaji matokeo na yanga itawapasa washushwe daraja maana wanaharibu soka letu kwa kutaka kuwekeza kwenye rushwa baadala ya uwanjani.
Mkiacha hii tuhuma bila uchunguzi basi hamfai kuwepo hapo ofisini.
Zamu yako kubebwaImeisha kwa Prison kunyimwa penati ya wazi na refa kuwabeba Yanga mechi yote.
Kweli ulikuwa bado mdogo kabwili ndie alikuwa kipa pekee wa Yanga wakati huo. Jitahidi kujifunza kwa wakubwa zako next time.Hivi Simba ihonge kipa namba mbili wamwache kipa no moja, dogo alikuwa anatafuta attention ndio maana nyinyi wenyewe hamumwamini.
Mnasema mna ushaidi, mropokaji wenu mkuu alipoita atoe ushahidi wa anayosema ameshindwa, matokeo yake kaadhibiwa mnaanza kulalamika.
Mmezoea kulishwa ujinga.
Kwa sasa marefarii ndio tegemeo pekee la Yanga la kupata furaha ya matokeo uwanjani.Yanga kawabeba sana refa mpaka Prison wakachukia.Kumbuka penati ya wazi walionyimwa refa anadai haoni.
Wewe ndio mtoto kipindi hicho Kabwili kipa namba mbili hata namba hapati, utopolo wenyewe hawamwamini , kachezaji kenyewe kamekaa kishoga.Kweli ulikuwa bado mdogo kabwili ndie alikuwa kipa pekee wa Yanga wakati huo. Jitahidi kujifunza kwa wakubwa zako next time.
Halafu utopolo wanatembeza pesa kwanza kwenye kamati ya marefa halafu marefa ndio maana wakifanya utumbo hawaadhibiwi.Kwa sasa marefarii ndio tegemeo pekee la Yanga la kupata furaha ya matokeo uwanjani.
Marefarii wanalijua hilo na wanatimiza majibu wao wanaoufahamu vizuri kabisa.
Wanafanya hivyo ili kuleta mshikamano kwenye hiyo timu, la sivyo kungekuwa na mgogoro mkubwa sana.
Ile faulo ingekuwa upande wa Yanga Refa angefunika ipigwe penati.
Hata ungekuwa wewe Refarii lazima ungeisaidia hiyo timu kubwa ili isisambaratike.
Yule beki alifanya faulo akijua kabisa hamna penati itakayotolewaYanga kawabeba sana refa mpaka Prison wakachukia.Kumbuka penati ya wazi walionyimwa refa anadai haoni.
Nyinyi mna ushahidi au mnazusha maneno, maneno yote aliyokuwa akisema Mwakalebela alipoitwa kashindwa kuthibitisha hata moja na huku mlikuwa mkimshangiliaBado ile ya Kabwili hawajaifanyia kazi. Tena ina ushahidi wa wazi zaidi
Ulitegenea vikamati fake vya Karia/Kidau wamtendee haki Mwakalebela ?Nyinyi mna ushahidi au mnazusha maneno, maneno yote aliyokuwa akisema Mwakalebela alipoitwa kashindwa kuthibitisha hata moja na huku mlikuwa mkimshangilia
Via MALINZIUlitegenea vikamati fake vya Karia/Kidau wamtendee haki Mwakalebela ?
Kindoki alikua anacheza timu gani?Kweli ulikuwa bado mdogo kabwili ndie alikuwa kipa pekee wa Yanga wakati huo. Jitahidi kujifunza kwa wakubwa zako next time.