Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasemaje Mkuu? Wengine hatujalisikia.Asukile katukana tusi kubwa sana kwenye hayo mahojiano
Unaweza kuweka hayo mahojiano.
Mana nlivyomsikia Asukile ni kwamba anauliza refa ni kipofu na kama ni kipofu uwanjani alikuwa anafanya nin?
Wafuatilie ni ile ya msemaji wa AzamAkihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.
Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza ni huyo Asukile. Ikigundulika ni uongo basi Asukile achukuliwe hatua na kama ni ukweli maana yake ni upangaji matokeo na yanga itawapasa washushwe daraja maana wanaharibu soka letu kwa kutaka kuwekeza kwenye rushwa baadala ya uwanjani.
Mkiacha hii tuhuma bila uchunguzi basi hamfai kuwepo hapo ofisini.
Nyie mlipata ngapi mlipocheza nao tena wakiwa pungufu?Uto kama kawa... ni either draw, kufungwa, au ushindi usiozidi goli 1.
Kachezeshe weweWamehonga na refa pia, alipeta clear pen + red card
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣VIDEO hii hapa[emoji116]View attachment 1769359
Rage aliwaza mbali sana alipowaita hawa viumbe'mbumbumbu'Hahahaha Ute bana,Yanga ikishinda rushwa,ikifungwa haijui mpira
Kasemaje Mkuu? Wengine hatujalisikia.
Rage aliwaza mbali sana alipowaita hawa viumbe'mbumbumbu'
Kama kweli walichukua hela zetu warudishe maana tumeshinda kwa jasho na so pesa the game was so tough
Na ya Kabwili nayo ya kuhongwa IST ifuatiliwe piaAkihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.
Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza ni huyo Asukile. Ikigundulika ni uongo basi Asukile achukuliwe hatua na kama ni ukweli maana yake ni upangaji matokeo na yanga itawapasa washushwe daraja maana wanaharibu soka letu kwa kutaka kuwekeza kwenye rushwa baadala ya uwanjani.
Mkiacha hii tuhuma bila uchunguzi basi hamfai kuwepo hapo ofisini.
Imeisha kwa Prison kunyimwa penati ya wazi na refa kuwabeba Yanga mechi yote.kwani mechi yao na prison imeishaje?
Unakikumbuka kile chanzo cha habari cha kabwili alivyotaka kuhongwa na mikia,unajua ile kesi Yanga waliipeleka tff wakiwa na ushahidi wote lakini mpaka hii leo tff hawataki kuishughulikiamkuu kuna hoja na chanzo cha uhakika. usikipuuze kishabiki