TFF fuatilieni hii tuhuma kwa Yanga kuwahonga wachezaji wa prison

TFF fuatilieni hii tuhuma kwa Yanga kuwahonga wachezaji wa prison

Hivi kombe lenyewe lina thamani ya shingapi mpaka yanga wahongwe milioni 40?? Tena dhidi ya wafungwa??
 
Wewe kwa ulichoona ni kweli wachezaji wa prizon wamecheza chini ya kiwango!?

Au unataka tupoteze muda kuchunguza jambo lililo wazi
 
Akihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.

Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza ni huyo Asukile. Ikigundulika ni uongo basi Asukile achukuliwe hatua na kama ni ukweli maana yake ni upangaji matokeo na yanga itawapasa washushwe daraja maana wanaharibu soka letu kwa kutaka kuwekeza kwenye rushwa baadala ya uwanjani.

Mkiacha hii tuhuma bila uchunguzi basi hamfai kuwepo hapo ofisini.
Wafuatilie ni ile ya msemaji wa Azam

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Akihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.

Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza ni huyo Asukile. Ikigundulika ni uongo basi Asukile achukuliwe hatua na kama ni ukweli maana yake ni upangaji matokeo na yanga itawapasa washushwe daraja maana wanaharibu soka letu kwa kutaka kuwekeza kwenye rushwa baadala ya uwanjani.

Mkiacha hii tuhuma bila uchunguzi basi hamfai kuwepo hapo ofisini.
Na ya Kabwili nayo ya kuhongwa IST ifuatiliwe pia
 
Back
Top Bottom