Nina uhakika wewe ni Simba kolo na nimefanikiwa lengo langu la kukukera na kukutoa shimoni!
Elimu yangu digrii 3 za kibabe ambazo ni sawa na ujumlishe elimu zenu wote wewe na ukoo wako mzima!! Niulize chochote kuhusu social science nitakujibu Kwa kurasa 100!! Mjinga sana wewe, shika hili, huwezi kujua elimu ya mtu kupitia comment tu, humu JF tunajifurahisha tu wewe umekuja kichwa kichwa toka Sengerema!!
Namshukuru Allah Umaskini si majaaliwa yangu alhamdulillah pesa ya kula ninayo, ya bando la kukukera kolo ninayo ila kiukweli ghorofa tu ndo Sina!
Kwa taarifa Yako Nyerere unaemuabudu alifundisha ujamaa ambao hakuuelewa na kulipoteza taifa! Huwezi kuwa mjamaa au kugawana mali huku wewe ukiwa ni maskini, ujamaa ni hatua iliyo nyuma ya ubepari yaani nchi lazima itajirike kwanza ndio iingie kwenye ujamaa Baada ya baadhi ya raia kuwa matajiri kupindukia na kunyonya wenzao kupindukia! Na ujamaa huja kwa mapinduzi ya kibabe ya wanaonyonywa ( proletariat revolution) dhidi ya capitalists! Ujamaa hauji kwa kutangaza tu eti sisi ni wajamaa!! Ujamaa ni mfumo wa nchi yenye matabaka mawili tu capitalists wamiliki wa vyanzo vya uchumi na proletariats wanyonge wasio na kitu zaidi kumwaga jasho kutumikia mabepari, huku Tanzania haiwezi kuwa na ujamaa sababu ni nchi maskini na ina matabaka mengi, capitalists, peasants, proletariat, middle class, metropolitans, yaani we hujui chochote kuhusu elimu wewe ni bendera tu zidumu fikra za mwenyekiti Nyerere unapiga makofi!!kwa taarifa Yako Nyerere ndio chanzo Cha Umaskini wetu kuingiza nchi vichakani kwa sera zake za kipumbavu za ujamaa ambao hakuuelewa! Mi nimesoma ujamaa vizuri ulaya yenyewe haswa nikasema Mungu wangu hivi Nyerere mbona alipoteza sana Taifa lake!!
Ficha ujinga wako siku ingine, mi napenda Yanga na napenda kukera Makolo!!
We hujui chochote, huna akili , nenda jukwaa la saizi Yako, jukwaa la mapenzi , humu JF huwa tunapinga hoja ya mtu sio mtu mwenyewe binafsi!
Na Bado mtakoma!! Mpaka mseme!