Shida yetu hata TFF inaamini uchawi. Tuogope sumu na dawa sio uchawi.Jambo lolote bila kufuata taratibu ni vurugu. Kwa hiyo leo hamtaki kufuata taratibu zilizowekwa za kuingia uwanjani, mnadai ni psychological war, kesho mtadai nini, hamtaki kusalimia wachezaji wa timu pinzani?
Naunga mkono hoja ya kuongeza adhabu kwa vitendo hivi kwa kutoza faini kubwa zaidi.
Mnasema mlikwepa kutumia njia rasmi kwa kuwa mnadai wapinzani wenu walitega makitu, kwa nini tusiamini nyie ndiyo mliweka makitu katika njia hizo rasmi mkajua njia ambayo iko salama ni ipi?Shida yetu hata TFF inaamini uchawi. Tuogope sumu na dawa sio uchawi.
Ni kweli Aucho alifanya kosa na anastahili adhabu, lakini inashangaza kwa nini Ajibu hakuadhibiwa wakati alifanya kitendo kile kile.Mashabiki wa Simba wamempiga shabiki wa Yanga uwanjani lakini TFF haikutoa adhabu kwa Simba badala yake imewatafuta waliompiga TU na kuwapa adhabu hao tu. Kwa timu nyingine TFF haitafuti mashibiki wao waliokosea uwanjani badala yake wanatoa adhabu kwa timu nzima kwa makosa ya mashabiki wao wawili waliorudha chupa za maji uwanjani, double standard. Je, itaendelea na zoezi la kuwatafuta na kuwaadhibu mashabiki wa timu wanaokosea badala ya kuziadhibu timu kwa makosa ya mashabiki wao?
Angalia adhabu iliyopewa Simba kwa wachezaji kuchelewesha kuanza kwa mechi na matangazo ya mdhammi kwa kuchelewa kufika uwanjani kwa wakati ni sh. 1m TU, lakini Yanga kupitia mlango mwingine ni 5mil. Nani kafanya kosa kubwa kati ya Simba aliyechelewesha mchezo kuanza na matangazo ya mdhammi na Yanga aliyepitia mlango mwingine kuingia na kufika uwanjani kwa wakati?. Nani kasababisha hasara na usumbufu mkubwa kati ya hawa wawili? Nani alistahili adhabu kubwa kuliko mwingine?
Adhabu ya Halid Aucho ya kumfungia mechi 3 bila kumuadhibu Ajib kama vile hawakuona alichomfanyia Aucho ni dalili ya TFF kuikataa Yanga uwanjani. Kumfungia mechi tatu!!!!
Mungu Yuko pamoja na kila anaeonewa na kudhulumiwa, wanaipaka mafuta Yanga izidi kupaa kimataifa, inakomazwa na TFF kwaajili ya mashindano ya ndani na nje ya nchi. Hata mama anaemnyanyasa house girl na kumpendelea mwanawe ajue anampaka mafuta yule house girl na kumpaka mavi usoni mwanawe. TFF inawapaka mavi usoni Simba, coastal Union na Ibrahim Ajib badala ya kuwasaidia kukua.
Oneni aibu.
Kiongozi gani alisema hiki unachokisema hapa? Au umeamua kuwasemea?Mnasema mlikwepa kutumia njia rasmi kwa kuwa mnadai wapinzani wenu walitega makitu, kwa nini tusiamini nyie ndiyo mliweka makitu katika njia hizo rasmi mkajua njia ambayo iko salama ni ipi?
Matendo, viashiria na dalili zote za ushirikina katika michezo zipigwe vita bila kupepesa macho.
Ndiyo wote mnavyosema mitandaoni na nimemsikia mwanayanga anayekusanya michango kulipa hiyo faini akisema hivyo. Kwa hiyo sasa hivi mnajikita kwenye kichaka cha hakuna kiongozi aliyetamka maneno hayo? Uto bana, mtakua liniii?Kiongozi gani alisema hiki unachokisema hapa? Au umeamua kuwasemea?
Kwasababu coastal union sio sawa na simba na yanga team zote za league kuu hazipati equal treatment kama simba na yanga ndio maana huwezi kuta simba na yanga wanacheza saa 8 mchana.Kwanini TFF haikumtafuta aliyemuua mshabiki wa coastal kama walivyomtafuta aliyempiga shabiki wa Yanga? Nani aliwaziia kufanya hivyo?
Yanga ni timu yenye uongozi wake unaotambulika! Nimekuuliza ni kiongozi gani Yanga aliyesema hayo maneno? Wewe unaleta habari za watu wa mitandaoni.Ndiyo wote mnavyosema mitandaoni na nimemsikia mwanayanga anayekusanya michango kulipa hiyo faini akisema hivyo. Kwa hiyo sasa hivi mnajikita kwenye kichaka cha hakuna kiongozi aliyetamka maneno hayo? Uto bana, mtakua liniii?
Kwanini mmepigwa faini. Kuna Sheria na kanuni Eymael apewe sofa zake.Kuna sheria yoyote kwenye zile sheria 17 za mpira inayosema huu mlango wa uwanja ni rasmi, na mwingine siyo rasmi? Vijana wa Rage bure kabisa.
Hata jambo dogo tuu la kutofautisha sheria 17 za soka na kanuni za ligi hamjui?Kuna sheria yoyote kwenye zile sheria 17 za mpira inayosema huu mlango wa uwanja ni rasmi, na mwingine siyo rasmi? Vijana wa Rage bure kabisa.
Iweke hiyo kanuni hapa ili na sisi wengine tuifahamu.Hata jambo dogo tuu la kutofautisha sheria 17 za soka na kanuni za ligi hamjui?
Kasome kanuni ya 14 ya ligi kuuSasa si muiweke hiyo kanuni hapa jukwaani ili tuisome. Shida iko wapi? Au ni kanuni ya mdomoni?
Sawa.Kasome kanuni ya 14 ya ligi kuu
Hakuna mafanikio yasiyokuwa na mkono wa Mungu, Wacha upagani.
Kwanini nifanye hivyo?Ungeishauri kwanza serikali na hao TFF wajenge kuta kwenye hiyo milango mingine kama hairuhusiwi kupita.
Ilimuuma karia baada ya yanga kukwepa mitego ya simba ndio maana wametoa adhabu kubwaMlango usio rasmi n mlango gani? Unaathiri nini mchezo wa mpira? Psychology tu kwa washirikina.
Kwa hiyo umeamua kabisa ujitetee kwa angle hiyo? Halafu mbona hakuna kiongozi wenu yoyote aliyetoka kulalamikia hiyo faini na badala yake mmeanza kampeni za kukusanya michango kuilipa?Yanga ni timu yenye uongozi wake unaotambulika! Nimekuuliza ni kiongozi gani Yanga aliyesema hayo maneno? Wewe unaleta habari za watu wa mitandaoni.
Basi sawa. Nimekuelewa kijana wa Mangungu.