CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Mpumbavu mwenyewe makosa ya viongozi wenu kujifanya wajuaji mnatukana ovyo. Nendeni CAS kama mnaona mumeonewa. Bwege mtozeni wewe. Mnafikiri kutumia lugha chafu ndiyo mnapata suluhu?Wewe mpumbavu unajua ITC inaombwa na chama cha soka nchi husika,kwanini tff waliridhia kumuombea ITC kisinda kutoka berkane then leo wageuke,na ikiwa kambole hajapeleka malalamiko yoyote tff?
Hata jimmy ukonde aliombewa itc akaishia kucheza cecafa,yacouba anayo itc inatumika avic town hata leo ukiomba itc 5 tffWewe mpumbavu unajua ITC inaombwa na chama cha soka nchi husika,kwanini tff waliridhia kumuombea ITC kisinda kutoka berkane then leo wageuke,na ikiwa kambole hajapeleka malalamiko yoyote tff?
We fala si ndio ulianza kuniquote kwa kuniita mpumbavu,unaonekana uko full stressMpumbavu mwenyewe makosa ya viongozi wenu kujifanya wajuaji mnatukana ovyo. Nendeni CAS kama mnaona mumeonewa. Bwege mtozeni wewe. Mnafikiri kutumia lugha chafu ndiyo mnapata suluhu?
Muongezee na mayele hapo maana ataendelea kuwafunga mpaka mkomeWenye akili yanga ni sunday manara na JK tu. Hii point ni ya mr. hamnazo, tupe ushahidi tff wakiridhia?
Yule siyo yanga. Ni mwajiriwa wa Yanga, kesho na keshokutwa utamkuta kwingine. Yanga ni wale HAMNAZO ππMuongezee na mayele hapo maana ataendelea kuwafunga mpaka mkome
Rage akukosea kuwaita mbu3Yule siyo yanga. Ni mwajiriwa wa Yanga, kesho na keshokutwa utamkuta kwingine. Yanga ni wale HAMNAZO ππ
Mpumbavu punguza povuWe fala si ndio ulianza kuniquote kwa kuniita mpumbavu,unaonekana uko full stress
Hakusema wanasimba. Ila yanga ni HAMNAZO, Unajua mbu3 ni ahueni kulko Hamnazo ππ yaani we huna kabisa.Rage akukosea kuwaita mbu3
Weka hapa hiyo barua ili utetezi uwe na nguvu. Kama barua hauna, basi weka hapa matamshi ya kiongozi yeyote wa Yanga aliyesema kwamba walikata jina la mchezaji fulaniWabongo mnajifanya wajuaji sana, unadhani Yanga ni wajinga kupeleka majina bila kuainisha wepi ni wa ligi ya wandani na wepi ni ligi ya nje.
Taarifa ya Kisinda ilitumwa kwa barua ya maelezo
Sasa bila kueleza nani atacheza ligi ya ndani tu na nani atacheza na ya CAF, TFF itajuaje? Uamuzi rahisi si ni kukata aliye chini?Sio kweli kanuni za caf ziko wazi,unaweza kuoeleka hata majina 40 ya wacheza
Kwa hiyo Yanga wamekata jina la kambole? Kambole atacheza ligi ya ndani, TK kimataifa? Au TK atacheza ligi na kimataifa, kama atacheza ligi Ya ndani na kimataifa hamuoni ni mifano tofauti na issue ya kahata? Kwa hiyo kambole atabakia Yanga kama mfanyakaz au mchezaji hapo lazma kambole aende timu nyingine kuachia nafas. Tusiwe na ubishi usio na maanaSwali linakuja kwanini Kahata jina lake lilikatwa kwenye ligi ya ndani!? Au kwanini Chikwende hakusajiliwa kucheza mechi za kimataifa!?
Ni rahisi kumfundisha ng'ombe kukokotoa hesabu za milinganyo atakuelewa mapema kuliko kumfundisha mwanayanga hesabu ya 2+2 Maana jibu atakwambia ni 22.Kwa hiyo Yanga wamekata jina la kambole? Kambole atacheza ligi ya ndani, TK kimataifa? Au TK atacheza ligi na kimataifa, kama atacheza ligi Ya ndani na kimataifa hamuoni ni mifano tofauti na issue ya kahata? Kwa hiyo kambole atabakia Yanga kama mfanyakaz au mchezaji hapo lazma kambole aende timu nyingine kuachia nafas. Tusiwe na ubishi usio na maana
Kilaza huyo. ACHANA NAYECase yako uliyorefer sidhani kama bado utakuwa sahihi ukiitumia leo, wakati wa usajili wa Chikwende CAF walitoa nafasi timu zisajili tena hasa zile zilizokuwa champions league kutokana na tatizo la uviko ili ikitokea baadhi ya wachezaji wana maambukizi timu zisiathirike wawepo wengine wa kucheza
Sasa hiyo kanuni bado ipo pamoja na kupungua kwa maambukizi ya uviko kama bado ipo utakuwa sahihi mkuu
Kwani Uviko imekwisha mkuu?Case yako uliyorefer sidhani kama bado utakuwa sahihi ukiitumia leo, wakati wa usajili wa Chikwende CAF walitoa nafasi timu zisajili tena hasa zile zilizokuwa champions league kutokana na tatizo la uviko ili ikitokea baadhi ya wachezaji wana maambukizi timu zisiathirike wawepo wengine wa kucheza
Sasa hiyo kanuni bado ipo pamoja na kupungua kwa maambukizi ya uviko kama bado ipo utakuwa sahihi mkuu
πππ ππ§π π¬π π¦πππ₯ππ ππ¨ππ π¨π πππ₯πππ πππ§π π π¬π πππ¦ππ‘ππWeka hapa hiyo barua ili utetezi uwe na nguvu. Kama barua hauna, basi weka hapa matamshi ya kiongozi yeyote wa Yanga aliyesema kwamba walikata jina la mchezaji fulani
Sasa mbona unaongea kile kile alicho sema jamaaWewe naye unapotosha, CAF wanaruhusu hadi wachezaji 40, ndio wasajiriwe ili kutumike kwenye mashindano yao, lakini kila shirikisho la nchi lina kanuni zake, za idadi ya wachezaji wa kigeni wanaoweza kusajiriwa , ndii maana kuna nchi wanaruhusu 5, na sisi hapa ni 12.madamu wasizidi 40, hata tukisema hakuna mchezaji wa kigeni anaruhusiwa hapa nchini, sio kosa.
Dohhh mambo yanafanyika ki digital now amna tena mamno ya mibarua ilikuwa ni kitendo cha ku click button tu kwenye server kambole out kisinda in na kazi ingeishia apo apo simple tu ..sema kwakuwa wana ajenda zao binafsi na yanga ndio mahanaCaf inaruhusu wachezaji 40 lkn hao wachezaji ni lazima wawe na leseni ya shirikisho husika. Sasa hapa kwetu tff hawatoi leseni kwa wachezaji wakigeni zaidi ya 12 kwa tim moja. Maana yake ni kwamba simba inaruhusiwa na caf kupeleka wachezaji 40 bila kujali mataifa yao lkn kwanza ni lazima wasajiliwe na wapewe leseni ya tff ndipo wapewe leseni ya caf. Kama simba itakuwa na wachezaji 13 wa kigeni na 27 wa ndani jumla 40 ina maana kwa kanuni za tff mchezaji mmoja wa kigeni kati ya hao 13 hatopewa leseni na tff na hivyo hatopata leseni ya caf! Kwa jumla ya wataopata leseni za tff ni 39 na ndio watakaopata leseni za caf mmoja atakosa ambaye ni wa kigeni. Na atakosa licha ya ukweli kwamba timu haijazidi kiwango cha wachezaji wanaoruhusiwa na caf (40)
Issue ilivyo kwa yanga. Inasemeka yanga walitoa maelekezo kwa tff wakate jina la kambole waweke jina la kisinda. Tatizo ni kwamba tff walikuwa washatunza usajili wa kambole kwa hiyo kambole ndio mwenye leseni ya tff na ndie atayepata leseni ya caf. Kisinda mlichelewa