changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Wanapaswa kupeleka malalamiko sio wachezaji kwasababu hao ni waajiriwa tu. Wanaopaswa kulalamika ni uongozi wa KMC hapo ndipo nilipo maanisha kuwa hawawezi kulalamika maana ni sehemu ya serikaliTumia akili, timu kuwa ya serikali sio hoja. Wachezaji ni professional