TFF na Bodi ya ligi inapaswa kubadili sheria ya timu ya ligi kuu kucheza play off na timu ya championship

TFF na Bodi ya ligi inapaswa kubadili sheria ya timu ya ligi kuu kucheza play off na timu ya championship

Sasa kama unapigwa na kibonde wa ligi kuu unapanda kwenda kufanya nini? ibaki hivyo hivyo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mob

Hii ni style ya kuzibeba timu zilizofeli ligi kuu, kwa mfano mtibwa haina jipya na hadhi ya kucheza ligi kuu ni huu uozo wa TFF na bodi yake ya ligi kuweka kanuni mbovu, play off za kucheza ligi kuu na championship duniani kote hamna hii kitu....only Tz!
misimu karibu miwili au mitatu timu inacheza play off ni Dhahiri hii timu inabebwa kwa kua ni wakongwe na ndiyo maana slogani yao kubwa watanzania wawaombee eti wana hali mbaya
 
hivi umenielewa nilichokiandika hapo juu

Mbeya ciyty alitolewa na mashjaatena kwa ujanja ujanja hadi kocha anapigwa na kuna baadhi ya wachezaji wa Mbeya city walirubuniwa na kuiacha timu kipindi cha playoff

mtibwa alikua ligi kuu alipambania nafasi akabaki katika mfumo huo huo wa play off kwa kua wao ni wakongwe walifanikiwa kubaki
Nimekuelewa mkuu, niliomba data lakini ukanirudishia jukumu hilo na mimi nimetekeleza. Katika timu 8 za ligi kuu zilizocheza playoffs katika misimu 4, ni timu 3 tu zilizoweza kubaki na 5 zilishindwa na timu za championship.

Tena mwenyewe umekumbuka jinsi Mbeya City walivyofanyiwa uhuni, sasa kwa uzoefu wao wa ligi kuu si ungewasaidia kushinda uhuni wa Mashujaa?
 
Kwani shida ni nini? TFF inaweza kusema kupanda wawili na kushuka wawili basi. Wameweka playoff kumpa nafasi mwingine naye ajaribu bahati. Bundesliga wanacheza playoff, unataka kusema nao ni wajinga.
 
kwanza nichukue fusa hii nikiwa mdau wa ball kupitia jukwaa hili la michezo la jamii forum kuzipongeza timu kutoka championship na kupanda ligi kuu.
KENGOLD FC NA PAMBA FC, Hakika timu hizi zinastahili pongezi maana siyo kazi nyepesi kutoka championship mpaka kupanda ligi kuu
Na pia nichukue fursa hii kuwashauri (kuwasihi) ndugu KENGOLD FC NA PAMBA FC kuwa ligi kuu ya NBCPL haitaki mbwenbwe za huko mlikotoka bali ligi kuu inahitaji NIDHAMU, UONGOZI BORA, USAJILI MZURI NA BENCHI MAKINI, ligi kuu haitaki mambo ya kuchinja paka, kuchimba chimba uwanja bali ni usajili mzuri na kuwapa morali wachezaji.

Turudi kwenye kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu ligi yetu imekua inakipengele cha play off, timu nne za mwanzo katika ligi ya championship timu mbili hupita moja kwa moja lakini mbili zilizobaki hucheza play off bingwa anakwenda kucheza na timu moja wapo ya ligi kuu iliyocheza play off na mwenzie nje ndani na kushinda

HOJA YANGU; timu za ligi kuu zinakua tayali zinauzoefu msuli wa usajili pamoja msuli wa fedha tofauti na championship wanakua ni wa kuunga unga sasa ukiwakutanisha kwenye playoff kwa asilimia kubwa timu inayotoka championship lazima itapigwa tu na timu kutoka ligi kuu itarudi tena wa championship atarudi alikotoka

MAONI YANGU; TFF na Bodi ya ligi inapaswa waliangalie hii sheria hii wa championship wamalizane wao kwa wao a wa ligi kuu pia wamalizane wao kwa wao kuliko wa championship kukutana na wa ligi kuu hhiyo ni ngumu na kwa upande mwingine ni uonevu tu
Wangefanya kama waingereza wanavyofanya, kinaumana nyie kwa nyie na wa kushuka anakuwa kishashuka. Huku kwetu sasa mtu alitakiwa kushuka anachezeshwa play off na mwenzie akishinda anabaki Ligi Kuu na aliyefungwa anacheza tena play off na mshindi toka play off ya championship-ujinga mtupu.
 
Hii ni style ya kuzibeba timu zilizofeli ligi kuu, kwa mfano mtibwa haina jipya na hadhi ya kucheza ligi kuu ni huu uozo wa TFF na bodi yake ya ligi kuweka kanuni mbovu, play off za kucheza ligi kuu na championship duniani kote hamna hii kitu....only Tz!
Germany,France na Belgium wanatumia kanuni hii kwenye ligi zao.
Ni vyema kutafuta maarifa kabla ya kuandika chochote hapa jukwaani.
 
Wangefanya kama waingereza wanavyofanya, kinaumana nyie kwa nyie na wa kushuka anakuwa kishashuka. Huku kwetu sasa mtu alitakiwa kushuka anachezeshwa play off na mwenzie akishinda anabaki Ligi Kuu na aliyefungwa anacheza tena play off na mshindi toka play off ya championship-ujinga mtupu.
Kweli mkuu
 
Germany,France na Belgium wanatumia kanuni hii kwenye ligi zao.
Ni vyema kutafuta maarifa kabla ya kuandika chochote hapa jukwaani.
UINGEREZA WANATUMIA IPI LIGI YA UINGEREZA NI BORA SANA HAPA DUNIANI KWANI WAO WAJINGA?!

FIKIRI MARA MBILI KABLA YA KUANDIKA HUO UPUUZI WAKO.
 
kwanza nichukue fusa hii nikiwa mdau wa ball kupitia jukwaa hili la michezo la jamii forum kuzipongeza timu kutoka championship na kupanda ligi kuu.
KENGOLD FC NA PAMBA FC, Hakika timu hizi zinastahili pongezi maana siyo kazi nyepesi kutoka championship mpaka kupanda ligi kuu
Na pia nichukue fursa hii kuwashauri (kuwasihi) ndugu KENGOLD FC NA PAMBA FC kuwa ligi kuu ya NBCPL haitaki mbwenbwe za huko mlikotoka bali ligi kuu inahitaji NIDHAMU, UONGOZI BORA, USAJILI MZURI NA BENCHI MAKINI, ligi kuu haitaki mambo ya kuchinja paka, kuchimba chimba uwanja bali ni usajili mzuri na kuwapa morali wachezaji.

Turudi kwenye kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu ligi yetu imekua inakipengele cha play off, timu nne za mwanzo katika ligi ya championship timu mbili hupita moja kwa moja lakini mbili zilizobaki hucheza play off bingwa anakwenda kucheza na timu moja wapo ya ligi kuu iliyocheza play off na mwenzie nje ndani na kushinda

HOJA YANGU; timu za ligi kuu zinakua tayali zinauzoefu msuli wa usajili pamoja msuli wa fedha tofauti na championship wanakua ni wa kuunga unga sasa ukiwakutanisha kwenye playoff kwa asilimia kubwa timu inayotoka championship lazima itapigwa tu na timu kutoka ligi kuu itarudi tena wa championship atarudi alikotoka

MAONI YANGU; TFF na Bodi ya ligi inapaswa waliangalie hii sheria hii wa championship wamalizane wao kwa wao a wa ligi kuu pia wamalizane wao kwa wao kuliko wa championship kukutana na wa ligi kuu hhiyo ni ngumu na kwa upande mwingine ni uonevu tu
Una hoja nzuri sana. Sasa unachukua nafasi; unaipeleka wapi?? Kumbuka haichukuliki hiyo. Sema .......NATAKA NITUMIE NAFASI HII ......
 
Binafsi napingana na wewe. Hapa wameweka sheria hii ili zisije kupanda timu dhaifu kuliko zile zinazoshuka. Ndiyo maana wamezipa fursa na haki timu mbili za juu kupanda moja kwa moja wakati zile zingine zinapimwa na vibonde wenzao ili mwenye uafadhali kati yao ndiyo apande.

Tupe data za miaka 3 iliyopita, playoffs walicheza nani na nani na yupi alipita ili tupate mwanga zaidi kwenye hii mada.
Hakuna timu ya Championship iliyowahi toboa kwenye play off kwa miaka hiyo 3
 
Kila kitu kina faida na Hasara...

Faida
  • Kuongeza amsha amsha katika mashindano ya championship timu zinakuwa na kitu cha ku-play for mpaka game ya mwisho bila ya hivyo mbili zikishajulikana watu wataanza kuchukua mlungula mapema na kuuza mechi

Hasara
  • Sioni hasara kama wewe umetoka championship na unashindwa kuwafunga vibonde wa premier league maybe you do not afford to be there..., bola vibonde katika vibonde kuliko vibonde zaidi ya vibonde...
Thus all for play-off
 
Back
Top Bottom