TFF na Bodi ya ligi inapaswa kubadili sheria ya timu ya ligi kuu kucheza play off na timu ya championship

TFF na Bodi ya ligi inapaswa kubadili sheria ya timu ya ligi kuu kucheza play off na timu ya championship

Germany,France na Belgium wanatumia kanuni hii kwenye ligi zao.
Ni vyema kutafuta maarifa kabla ya kuandika chochote hapa jukwaani.
Ni vema kujiuliza kama mfumo unafaa katika uboreshaji wa soka , siokika kitu kuiga Kwa wengine
 
Ni vema kujiuliza kama mfumo unafaa katika uboreshaji wa soka , siokika kitu kuiga Kwa wengine
Elewa kwanza mjadala ulipoanzia kabla ya kukurupuka kumjibu mtu.
Sipo hapa kujadili ubora au udhaifu wa mfumo tajwa.Nipo hapa kumsahihisha kishumbaz aliyedai kuwa mfumo tajwa unatumika Tz pekee wakati kiuhalisia unatumika hata kwenye ligi kubwa duniani kama Bundesliga na Ligue 1.
Kama huo mfumo ni mzuri au mbaya hiyo sio biashara yangu.
Narudia tena,usikurupuke kumjibu mtu bila kujua mjadala ulipoanzia.
 
Binafsi napingana na wewe. Hapa wameweka sheria hii ili zisije kupanda timu dhaifu kuliko zile zinazoshuka. Ndiyo maana wamezipa fursa na haki timu mbili za juu kupanda moja kwa moja wakati zile zingine zinapimwa na vibonde wenzao ili mwenye uafadhali kati yao ndiyo apande.

Tupe data za miaka 3 iliyopita, playoffs walicheza nani na nani na yupi alipita ili tupate mwanga zaidi kwenye hii mada.

wewe ndiyo ulipaswa kuja na data za nyuma huko ili kusapoti hoja yako
Nyote wavivu wa kusaka data.
 
Hakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
Acheni utoto jamaa ......kwani Mashujaa siwapo ligi kuu kwa kuwashusha Mbeya City msimu uliopita!
 
Huwezi kushusha timu nne kwa mpigo kutoka ligi kuu ili kupandisha timu nne mpya kutoka ligi ya chini. Mwisho wa siku utaua soka kwenye ligi kuu. Wacha timu mbili zipande/kushuka moja kwa moja, na timu zingine mbili zipambanie.
Hiyo ni survive for the fittest.
 
Hakuna timu ya Championship iliyowahi toboa kwenye play off kwa miaka

Kila kitu kina faida na Hasara...

Faida
  • Kuongeza amsha amsha katika mashindano ya championship timu zinakuwa na kitu cha ku-play for mpaka game ya mwisho bila ya hivyo mbili zikishajulikana watu wataanza kuchukua mlungula mapema na kuuza mechi

Hasara
  • Sioni hasara kama wewe umetoka championship na unashindwa kuwafunga vibonde wa premier league maybe you do not afford to be there..., bola vibonde katika vibonde kuliko vibonde zaidi ya vibonde..

Nyote wavivu wa kusaka data.
wew ambye siyo mvivu kwa nini usilete hapa ili utete hoja yako
 
Huwezi kushusha timu nne kwa mpigo kutoka ligi kuu ili kupandisha timu nne mpya kutoka ligi ya chini. Mwisho wa siku utaua soka kwenye ligi kuu. Wacha timu mbili zipande/kushuka moja kwa moja, na timu zingine mbili zipambanie.
Hiyo ni survive for the fittest.
mbona nchi kama uingereza wanafanya hivyo na ligi yao ni bora??
 
Hii ilishajibiwa na wenye mamlaka..tatizo hatutafuti maarifa na hatufuatilii,sikutegemea kukutana na swali hili humu tena.
 
Hii ilishajibiwa na wenye mamlaka..tatizo hatutafuti maarifa na hatufuatilii,sikutegemea kukutana na swali hili humu tena.
na wewe umeonesha umbumbumbu ulipaswa kuweka hilo jibu hapa na siyo kushangaa swali weka hilo jibu hapa kwa faida ya wote
 
MPUMBAVU ALIYEKUZAA

huna hoja bali unatumia makamasi kwenye ubongo wako kufikiri kwa nini ulazimishe taifa letu lifuate mfumo wa ufaransa na ubelgij na ukiangalia nchi kama uingereza inatumia mfumo tofauti na ligi inakua bora kuliko nchi hizo ulizozitaja
Wapi nimelazimisha nchi itumie mfumo kama wa France na Belgium?
Mtu akisema Tanzania
ndiyo nchi pekee duniani yenye mafisadi, halafu mimi nikamkosoa na kumueleza ukweli kuwa mafisadi wapo hata kwenye nchi nyingine duniani kama Kongo na Ghana, hapo ninakuwa nimelazimisha mafisadi waendelee kuwepo Tanzania?
Ina maana wewe ni MPUMBAVU kiasi kwamba unashindwa kuelewa jambo dogo kama hili ambalo hata mtoto wa darasa la pili analiweza?
 
Wapi nimelazimisha nchi itumie mfumo kama wa France na Belgium?
Mtu akisema Tanzania
ndiyo nchi pekee duniani yenye mafisadi, halafu mimi nikamkosoa na kumueleza ukweli kuwa mafisadi wapo hata kwenye nchi nyingine duniani kama Kongo na Ghana, hapo ninakuwa nimelazimisha mafisadi waendelee kuwepo Tanzania?
Ina maana wewe ni MPUMBAVU kiasi kwamba unashindwa kuelewa jambo dogo kama hili ambalo hata mtoto wa darasa la pili analiweza?
rejea kwenye hoja yako kisha urudi hapa
 
rejea kwenye hoja yako kisha urudi hapa
Nakumbuka vizuri kila nilichoandika,sasa wewe leta ushahidi wapi nimeandika au kulazimisha nchi hii itumie mfumo wa relegation na promotion kama wa Belgium,Germany na France?
Najua unaona aibu kukiri kwamba umekurupuka.
 
kwanza nichukue fusa hii nikiwa mdau wa ball kupitia jukwaa hili la michezo la jamii forum kuzipongeza timu kutoka championship na kupanda ligi kuu.
KENGOLD FC NA PAMBA FC, Hakika timu hizi zinastahili pongezi maana siyo kazi nyepesi kutoka championship mpaka kupanda ligi kuu
Na pia nichukue fursa hii kuwashauri (kuwasihi) ndugu KENGOLD FC NA PAMBA FC kuwa ligi kuu ya NBCPL haitaki mbwenbwe za huko mlikotoka bali ligi kuu inahitaji NIDHAMU, UONGOZI BORA, USAJILI MZURI NA BENCHI MAKINI, ligi kuu haitaki mambo ya kuchinja paka, kuchimba chimba uwanja bali ni usajili mzuri na kuwapa morali wachezaji.

Turudi kwenye kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu ligi yetu imekua inakipengele cha play off, timu nne za mwanzo katika ligi ya championship timu mbili hupita moja kwa moja lakini mbili zilizobaki hucheza play off bingwa anakwenda kucheza na timu moja wapo ya ligi kuu iliyocheza play off na mwenzie nje ndani na kushinda

HOJA YANGU; timu za ligi kuu zinakua tayali zinauzoefu msuli wa usajili pamoja msuli wa fedha tofauti na championship wanakua ni wa kuunga unga sasa ukiwakutanisha kwenye playoff kwa asilimia kubwa timu inayotoka championship lazima itapigwa tu na timu kutoka ligi kuu itarudi tena wa championship atarudi alikotoka

MAONI YANGU; TFF na Bodi ya ligi inapaswa waliangalie hii sheria hii wa championship wamalizane wao kwa wao a wa ligi kuu pia wamalizane wao kwa wao kuliko wa championship kukutana na wa ligi kuu hhiyo ni ngumu na kwa upande mwingine ni uonevu tu
Kazi kuiga tu. Malimbukeni wakubwa nyie. Championship ndiyo nini? Kiingereza chenyewe hamjui, mnajifanya kukariri maneno machache mnayochagua.
 
Back
Top Bottom